Mzee Lowassa siku ya kufunga kampeni za urais 2015 alifunga mitaa yote ya Dsm kwa maandamano lakini aliangukia pua!

Mzee Lowassa siku ya kufunga kampeni za urais 2015 alifunga mitaa yote ya Dsm kwa maandamano lakini aliangukia pua!

Maturity ipi mkuu hebu tuwe realistic hapa, hivi CHADEMA ina ilani ya uchaguzi? Kwa mfano wakipewa dola unajua watafanya nn zaidi ya kuweka mwenge wa uhuru makumbusho?.
Nafikiri huwajui vizuri Chadema. Wafuatilie na soma itikadi yao na kila kitu
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Lowassa alishinda ila tume ilichakachua matokeo
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!

Ume panic sana 😂😂😂
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Acha kuwashwa. Ya leo ni mapokezi, subir kipenga kipulzweee


Huyu ndio Lissu !!! Hana Pesa kama Lowassa, lkn MOTO WAKE UMEWASHWA NA KAZI ISIYO YA MWANADAMU.
 
Kwa iyo unataka sema??? Safari hii hamna wa kumbeba magufuli maana wote kuanzia chamani hadi serikakilini wameshamjua kuwa ni very unpredictable.

Amini nakwambia yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania hapo October 2020.

Kwa wengi kuanzia wafanyabiashara wakubwa, wananchi na viongozi wenzake, ni heri nchi iende kwa Lissu na Chadema maana wameonesha maturity kuliko Magufuli kupata miaka 5 zaidi
Hivi unajiskia unachonena?
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Lowasa kihalali alipata kura nyingi zaidi ya jpm, wananchi walimpa sana kura. Ni janjajanja tu ya CCM ilimkosesha tonge
 
Kama huwezi kufanya hata uchambuzi mdogo ninivkilimfelisha lowasa SASA sijui tukusaidieje???

Lowasa alikuwa hawezi hata kuhutubia dakika mbili unataka kumfananisha na lissu mashine???

Ohoooo magu atachakaa nikwambieee, kama kipindi kile alipiga pushapu SASA hivi anaweza hata kuvua nguo zote bado raia wasimwelewe!
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
 
Nyomi la leo limekutisha mjumbe hahahahahaaaa!
 
Hata hao unaosema vijana WA usalama nao wanataka mageuzi na wanatamani sana Ccm iondoke madarakani kama hujui
Chadema ni wapumbavu sana na malofa ,wanasahau kwenye msafara wa mamba na kenge wapo ,kifupi ni kwamba ndani ya wanachama wao,walikuwepo vijana kibao wa usalama waliovalia kiraia,wakiwacheki tu na sarakasi zao
 
Maturity ipi mkuu hebu tuwe realistic hapa, hivi CHADEMA ina ilani ya uchaguzi? Kwa mfano wakipewa dola unajua watafanya nn zaidi ya kuweka mwenge wa uhuru makumbusho?.
Nyumbu wa Lumumba akili zenu mmeshikiwa kwa hiyo ilani unaona ni bonge la inshu? Ilani hata fomu 4 anaweza kuidraft kwa dakika sembuse cdm chama kubwa?
 
mnalo mwaka huu..kama Lowasa aliyekuwa hata kuongea hawezi ilikuwa vile . je huyu mwamba ambaye jiwe hawezi hata kusimama naye kwenye hoja
 
Wivu tu john, ukichangia time za chaguzi Africa haziko huru, ka mwanasiasa anahitaji nyomi la watu na sio lakulazimisha, waweza shida kwa bao la mikono Ila ushindi halali una raha yake
 
Back
Top Bottom