Mzee Lowassa siku ya kufunga kampeni za urais 2015 alifunga mitaa yote ya Dsm kwa maandamano lakini aliangukia pua!

Mzee Lowassa siku ya kufunga kampeni za urais 2015 alifunga mitaa yote ya Dsm kwa maandamano lakini aliangukia pua!

Karuka Tena karuka....🤣🤣

Ilikuwa mapokezi ya Lissu yapo mitandaoni saizi imekuwa habari za Lowasssa. Nakumbusha Eddo alikuwa hajiwezi kisera na kihoja, mwamba anaweza kila KITU . Tunashukuru kwakukiri ulichokiona na hii rasharasha mvua badooooooo sanaaaaa😀
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Hata wale watu waliondamana wanajua hatashinda lakini ni muhimu kuwaachia wananchi mara moja moja watoe ya moyoni na kuingia barabarani kuandamana. Binadamu hatufanani.
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Kwahiyo Mkuu kwa uelewa wako... Unafikiri Jiwe lilishinda kabisaaa uchaguzi 2015!?!
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Mkuu tambua kwamba MTU WENU alitangazwa na Lubuva ,Tofautisha Kushinda na Kutangazwa!! Aliyeshinda mwingine lakini akatangazwa mwingine.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

CCM wamesha panic,

Lumumba hapakaliki tena,

Msiba umefunikwa,

Nguvu ya CHADEMA yadhihirika mchana kweupe pee.
 
Kwa iyo unataka sema??? Safari hii hamna wa kumbeba magufuli maana wote kuanzia chamani hadi serikakilini wameshamjua kuwa ni very unpredictable.

Amini nakwambia yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania hapo October 2020.

Kwa wengi kuanzia wafanyabiashara wakubwa, wananchi na viongozi wenzake, ni heri nchi iende kwa Lissu na Chadema maana wameonesha maturity kuliko Magufuli kupata miaka 5 zaidi
Kwahiyo hadi wenzie watamuunga mkono na kumpigia kampeni Lisu?

Hii tabia ya kudanganya nafsi zenu kwa kujifariji huwa mnatia huruma sana.
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
OGOPA WAJUMBE MKUU!!
 
Back
Top Bottom