Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Ahahahaaaa umepanic broo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa....... Ni tafakuri tu!Ahahahaaaa umepanic broo!
Huu ushindi wa kubumba ndio unaouzungumzia ?Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani ushindi ukoje bwashee?Huu ushindi wa kubumba ndio unaouzungumzia ?View attachment 1518708
[emoji38]Hahahaaaa....... Ni tafakuri tu!
Waulize tume ya uchaguzi wakuambie ukweli. Kwani Ccm mnge kuwa mlishinda kweli mnge zuia mikutano ya wapinzani? Mnge tumia Polisi kuongoza chama chenu?Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa taarifa yako,Lowasa alishinda ila kama kawaida tume yetu ni ccm C kama walivyo polisi ni ccm BNajaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Mbona mnateseka nyie watoto wa mchunga ng'ombe anaejiita kichaa?Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Huna uwezo wa kudivert ujio wa Lissu , kama kashindwa Mkapa ndio uweze wewe kapuku !Kwani ushindi ukoje bwashee?
Hakujawa bado na free and fair election, tutajitutumua pia mwaka huu.Ipo siku mambo yatabadilika, tuendelee kupambana...Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa iyo unataka sema??? Safari hii hamna wa kumbeba magufuli maana wote kuanzia chamani hadi serikakilini wameshamjua kuwa ni very unpredictable.
Amini nakwambia yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania hapo October 2020.
Kwa wengi kuanzia wafanyabiashara wakubwa, wananchi na viongozi wenzake, ni heri nchi iende kwa Lissu na Chadema maana wameonesha maturity kuliko Magufuli kupata miaka 5
Kwa taarifa yako,Lowasa alishinda ila kama kawaida tume yetu ni ccm C kama walivyo polisi ni ccm B
Ndo maana kukapatikana madiwani wote wale Dar,na wabunge wote wale. Kitendo chchote Cha kubeza mapokezi ya Lissu ni kuonyesha kuwa ulifurahia jaribio la kumuuwa na pia ulichukizwa na kupona kwake.Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.
Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu akikujibu naomba unitag [emoji23][emoji23][emoji23]Unajichanganya mwenyewe. Inabidi ujiulize wewe mwenyewe umekubali watu walikuwa wengi sana mpaka kufunga Jagwani. Cha kujiuliza hizo kura nani anahesabu!!!! Hivyo jiulize maana inaelekea kama vile wahesabu kura ni watumishi wa mungu! wakati waangalizi wote wa kura walisema kuna matatizo
Sasa hata waangalizi hawaruhusiwi kwasababu watasema ukweli bado unataka kujiaminisha kura zitahesabiwa kihalali!!
Tanzania kwa sasa pima watu usipime kura ambazo hazihesabiwi kihalali. Nakumbuka kawe kuna mtu alisema waliiba lakini hazikutosha!!!. Lengo la upinzani ni kuwa karibu na watu na iko siku watu watapindua mambo kama Kenya! wanajua wanachofanya!