Mzee Lowassa siku ya kufunga kampeni za urais 2015 alifunga mitaa yote ya Dsm kwa maandamano lakini aliangukia pua!

Mzee Lowassa siku ya kufunga kampeni za urais 2015 alifunga mitaa yote ya Dsm kwa maandamano lakini aliangukia pua!

Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Huu ushindi wa kubumba ndio unaouzungumzia ?
2332550_matokeo_uchaguzi_3.jpg
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Waulize tume ya uchaguzi wakuambie ukweli. Kwani Ccm mnge kuwa mlishinda kweli mnge zuia mikutano ya wapinzani? Mnge tumia Polisi kuongoza chama chenu?
 
Kurudi Kwa Lisu nimefurahia Sana aisee, swala la yeye tena kushinda uraisi ni kujiongopea nafsi

Hilo linafahamika na Chadema wanajuwa hivyo!! Vinginevyo ni ubishi wa kijinga tu
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Kwa taarifa yako,Lowasa alishinda ila kama kawaida tume yetu ni ccm C kama walivyo polisi ni ccm B
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Mbona mnateseka nyie watoto wa mchunga ng'ombe anaejiita kichaa?

Fuatilieni kwa mabwana zenu, nani alishinda 2015!

Tunataka tume huru mchezo tuumalize mapemaaa
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Hakujawa bado na free and fair election, tutajitutumua pia mwaka huu.Ipo siku mambo yatabadilika, tuendelee kupambana...
 
Kama kuna mtu anawaza Lissu au mpinzani yoyote kuchukua nchi hakika anafikiri kwa kutumia makalio na siyo kichwa.
 
Lengo la CCM siyo tena Urais, lengo ni kuchukua majimbo yote ya uchaguzi, hivi kuna mpinzani gani mwenye ubavu wa kupambana na Magufuri???

Tatizo hawa jamaa huwa wanajipq matumaini fake.
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
 
Hicho unachowaza hakipo leo wala hakipo kesho wala kesho kutwa.

Labda kinaweza kutokea mwaka 2500.


Yaani hao waliojitokeza leo ambao kumpokea lissu ambao hawafiki hata nussu ya wanachi wa Jimbo la Kahama mjini ndiyo wanawapa kichwa kuchukua nchi??

Hahahaha
Kwa iyo unataka sema??? Safari hii hamna wa kumbeba magufuli maana wote kuanzia chamani hadi serikakilini wameshamjua kuwa ni very unpredictable.

Amini nakwambia yaliyotokea Malawi yanaenda kutokea Tanzania hapo October 2020.

Kwa wengi kuanzia wafanyabiashara wakubwa, wananchi na viongozi wenzake, ni heri nchi iende kwa Lissu na Chadema maana wameonesha maturity kuliko Magufuli kupata miaka 5
 
Kwa hiyo we unaamini jiwe alishinda kabisaa uchaguzi uliopita?
 
Labda Alishinda kuwa Rais wa machizi pale bavicha, Hivi hata Kama angeshinda hiyo serikali angeiunda nani ? CCM ilikuwa na idadi kubwa ya wabunge .
Kwa taarifa yako,Lowasa alishinda ila kama kawaida tume yetu ni ccm C kama walivyo polisi ni ccm B
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!
Ndo maana kukapatikana madiwani wote wale Dar,na wabunge wote wale. Kitendo chchote Cha kubeza mapokezi ya Lissu ni kuonyesha kuwa ulifurahia jaribio la kumuuwa na pia ulichukizwa na kupona kwake.
 
Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya mzee Lowassa wa 2015 katika uchaguzi mkuu wa mwska huu kupitia upinzani.

Kila nikikumbuka ile nyomi ya Lowassa pale jangwani kisha akaangukia pua, ngachoka kabisa?

Maendeleo hayana vyama!

Unajichanganya mwenyewe. Inabidi ujiulize wewe mwenyewe umekubali watu walikuwa wengi sana mpaka kufunga Jagwani. Cha kujiuliza hizo kura nani anahesabu!!!! Hivyo jiulize maana inaelekea kama vile wahesabu kura ni watumishi wa mungu! wakati waangalizi wote wa kura walisema kuna matatizo

Sasa hata waangalizi hawaruhusiwi kwasababu watasema ukweli bado unataka kujiaminisha kura zitahesabiwa kihalali!!

Tanzania kwa sasa pima watu usipime kura ambazo hazihesabiwi kihalali. Nakumbuka kawe kuna mtu alisema waliiba lakini hazikutosha!!!. Lengo la upinzani ni kuwa karibu na watu na iko siku watu watapindua mambo kama Kenya! wanajua wanachofanya!
 
Unajichanganya mwenyewe. Inabidi ujiulize wewe mwenyewe umekubali watu walikuwa wengi sana mpaka kufunga Jagwani. Cha kujiuliza hizo kura nani anahesabu!!!! Hivyo jiulize maana inaelekea kama vile wahesabu kura ni watumishi wa mungu! wakati waangalizi wote wa kura walisema kuna matatizo

Sasa hata waangalizi hawaruhusiwi kwasababu watasema ukweli bado unataka kujiaminisha kura zitahesabiwa kihalali!!

Tanzania kwa sasa pima watu usipime kura ambazo hazihesabiwi kihalali. Nakumbuka kawe kuna mtu alisema waliiba lakini hazikutosha!!!. Lengo la upinzani ni kuwa karibu na watu na iko siku watu watapindua mambo kama Kenya! wanajua wanachofanya!
Mkuu akikujibu naomba unitag [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Usiwakumbushe makamanda namna walivyodeki bara bara.
 
Back
Top Bottom