Msamaha wa nini sikuwahi mtukana nilikuwa namwambia ukweli na nitaendelea msimamo wangu ni ule ule!
Richmond ya nani??????Msamaha wa nini sikuwahi mtukana nilikuwa namwambia ukweli na nitaendelea msimamo wangu ni ule ule!
Bhangi mbaya sana sasa ulitaka mtu asizeeke wakati umri unaongezeka!nimemwangalia akiongea na mabalozi kazeeka ghafla, Lisu + Membe watamsababishia presha
Sent using Jamii Forums mobile app
Oil chafu yupo chadema na ni mwenyekiti wa kanda ya pwani!Kwahiyo unakili kuwa siyo oil chafu tena?
In God we trust
Oil chafu yupo chadema na ni mwenyekiti wa kanda ya pwani!
Swali hili ulikuwa huwezi uliza dadeeki muulize nyalandu wa tembo!
ndio uache bangi ona umeota kipara na akili zimeharibikaBhangi mbaya sana sasa ulitaka mtu asizeeke wakati umri unaongezeka!
Hakutukanwa aliambiwa ukweli!Futa kauli yako kwanza uliyo mtukana lowasa wewe na msukuma
In God we trust
Bhangi mbaya sana sasa ulitaka mtu asizeeke wakati umri unaongezeka!
Jibu swali mm ndy wa kwanza kukulizaaaSwali hili ulikuwa huwezi uliza dadeeki muulize nyalandu wa tembo!
Hakutukanwa aliambiwa ukweli!
Aah hamuaminiki nyie sema poa bado mpo na sumaye na nyalandu sijui unasemaje kuhusu hao!Acha UZUSHI WEWE! Mie na huyu fisadi lowassa wapi na wapi! Nilimpinga kabla hajakimbilia chadema na hata baada ya kukimbilia chadema. Mie si bendera fuata upepo.
Tume ipo huru subiri wiki hii hii Lowassa atatueleza kama tume ni huru au sio huru!
kama umejinyea na wewe hujui kuna ubaya gani ukiambiwa nyinyi mlikuwa hamtaki akanawe!Wewe na msukuma kasheku mlimwambia alijinyea au unakataa leo tukuwekee clip?
In God we trust
Aah hamuaminiki nyie sema poa bado mpo na sumaye na nyalandu sijui unasemaje kuhusu hao!
Sawa sawa kabisa!Lowassa hela yake imeliwa huko cdm. Yeye na wanaccm waliamini anakubalika sana cdm, na akirudi ccm basi wanacdm pia watamfuata, kajikuta anarudi na wanaccm wenzake waliomfuata. Hata akisema chochote huko ccm aliko watu wanampotezea tu. Asiseme tu tume iko huru, bali aseme hata hizo kura 6m yeye ndio alimuibia Magufuli.
Tulikusanyika Mbezi ya Kimara kuanzia saa sita za mchana, saa kumi tukaambiwa Mzee Lowassa muda si mrefu atawasili hapo uwanjani akitokea Kawe, kulikuwa na umati wa watu sijawahi kuona. Mabasi ya mikoani hasa yale yaliyokuwa yakitoka Moshi, Arusha nk kuja Dar yalikuwa yakipita na abiria wote ndani ya mabasi wakitupungia mikono huku nwakionyesha alama ya vidole viwili.
Muda ukafika Mzee Lowass akawasili....nadhani hotuba yake ilikuwa fupi kuliko zote kuwahi kutokea dk 2 au 3 ila sio zaidi. Hata hivyo wana Mageuzi tulifurahi sana.
Nikipata nafasi nitahadithia nilivyotoka kwa mguu Luguluni kuja shule ya msingi Msakuzi kumpigia kura Lowassa na Ukawa.
Sitarudia tena kushabikia Upinzani Njaa Kama Huu wa Tanzania.....
View attachment 1041982
kama umejinyea na wewe hujui kuna ubaya gani ukiambiwa nyinyi mlikuwa hamtaki akanawe!
Yule mmoja kazi yake ni ilikuwa kumuuguza lissu nairobi na yule mwingine ni kumpepea lowassa kipindi kile cha kampeni!Wote hao ni makosa kuwepo chadema sijawahi kuona umuhimu wao wa kuwepo chadema hata kwa sekunde moja.
Ahaha bundle kushinei!Tatizo huna akili kuendelea kumkashifu naona nikuwachie hapa
In God we trust