Mzee lowassa timiza ile ahadi yako ya kwenda kuwashukuru na pia wakushukuru,maana zile kura mil 6 hawatozipata tena maisha!

Mzee lowassa timiza ile ahadi yako ya kwenda kuwashukuru na pia wakushukuru,maana zile kura mil 6 hawatozipata tena maisha!

Ebu rudia jinsi alivyo kuwa anajibu pale alivyokuwa anahojiwa na wazungu baada ya kivuko kuzama ziwani
Bhangi mbaya sana sasa ulitaka mtu asizeeke wakati umri unaongezeka!

In God we trust
 
Acha UZUSHI WEWE! Mie na huyu fisadi lowassa wapi na wapi! Nilimpinga kabla hajakimbilia chadema na hata baada ya kukimbilia chadema. Mie si bendera fuata upepo.
Aah hamuaminiki nyie sema poa bado mpo na sumaye na nyalandu sijui unasemaje kuhusu hao!
 
Tume ipo huru subiri wiki hii hii Lowassa atatueleza kama tume ni huru au sio huru!

Lowassa hela yake imeliwa huko cdm. Yeye na wanaccm waliamini anakubalika sana cdm, na akirudi ccm basi wanacdm pia watamfuata, kajikuta anarudi na wanaccm wenzake waliomfuata. Hata akisema chochote huko ccm aliko watu wanampotezea tu. Asiseme tu tume iko huru, bali aseme hata hizo kura 6m yeye ndio alimuibia Magufuli.
 
Wewe na msukuma kasheku mlimwambia alijinyea au unakataa leo tukuwekee clip?

In God we trust
kama umejinyea na wewe hujui kuna ubaya gani ukiambiwa nyinyi mlikuwa hamtaki akanawe!
 
Wote hao ni makosa kuwepo chadema sijawahi kuona umuhimu wao wa kuwepo chadema hata kwa sekunde moja.

Aah hamuaminiki nyie sema poa bado mpo na sumaye na nyalandu sijui unasemaje kuhusu hao!
 
Lowassa hela yake imeliwa huko cdm. Yeye na wanaccm waliamini anakubalika sana cdm, na akirudi ccm basi wanacdm pia watamfuata, kajikuta anarudi na wanaccm wenzake waliomfuata. Hata akisema chochote huko ccm aliko watu wanampotezea tu. Asiseme tu tume iko huru, bali aseme hata hizo kura 6m yeye ndio alimuibia Magufuli.
Sawa sawa kabisa!
 
Tulikusanyika Mbezi ya Kimara kuanzia saa sita za mchana, saa kumi tukaambiwa Mzee Lowassa muda si mrefu atawasili hapo uwanjani akitokea Kawe, kulikuwa na umati wa watu sijawahi kuona. Mabasi ya mikoani hasa yale yaliyokuwa yakitoka Moshi, Arusha nk kuja Dar yalikuwa yakipita na abiria wote ndani ya mabasi wakitupungia mikono huku nwakionyesha alama ya vidole viwili.
Muda ukafika Mzee Lowass akawasili....nadhani hotuba yake ilikuwa fupi kuliko zote kuwahi kutokea dk 2 au 3 ila sio zaidi. Hata hivyo wana Mageuzi tulifurahi sana.

Nikipata nafasi nitahadithia nilivyotoka kwa mguu Luguluni kuja shule ya msingi Msakuzi kumpigia kura Lowassa na Ukawa.
Sitarudia tena kushabikia Upinzani Njaa Kama Huu wa Tanzania.....
View attachment 1041982

Siku nyingine usipigie kura Upinzani wala CCM ila Pigia Kura ANAYEKUFAA, kwa kufanya hivyo hutajilaumu
 
Wote hao ni makosa kuwepo chadema sijawahi kuona umuhimu wao wa kuwepo chadema hata kwa sekunde moja.
Yule mmoja kazi yake ni ilikuwa kumuuguza lissu nairobi na yule mwingine ni kumpepea lowassa kipindi kile cha kampeni!
 
Back
Top Bottom