Mzee Magoma Akata Rufaa, asema bado hautambui Uongozi

Mzee Magoma Akata Rufaa, asema bado hautambui Uongozi

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118

Muwe na siku njema wananchi , kuna uwezekano wanaomuelewa huyu Mzee ni wale Wawili.

Mzee Juma Magoma baada ya kushindwa kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya Baraza la Wadhamini la Yanga, amekata rufaa kwenye Mahakama Kuu akiendelea kutafuta haki yake.

Soma Pia:
Mzee Magoma na wenzake walifungua kesi hiyo wakihitaji viongozi wa Yanga wa sasa waondoke madarakani kwa kuwa katiba iliyowaweka madarakani wao hawaitambui huku wakidai mali za klabu na timu wakabidhiwe wao.

Mzee Magoma pia ametaja vitu ambavyo anavipigania ndani ya klabu ya Yanga.
 

Muwe na siku njema wananchi , kuna uwezekano wanaomuelewa huyu Mzee ni wale Wawili.

Mzee Juma Magoma baada ya kushindwa kwenye kesi aliyoifungua Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya Baraza la Wadhamini la Yanga, amekata rufaa kwenye Mahakama Kuu akiendelea kutafuta haki yake.

Soma Pia:
Mzee Magoma na wenzake walifungua kesi hiyo wakihitaji viongozi wa Yanga wa sasa waondoke madarakani kwa kuwa katiba iliyowaweka madarakani wao hawaitambui huku wakidai mali za klabu na timu wakabidhiwe wao.

Mzee Magoma pia ametaja vitu ambavyo anavipigania ndani ya klabu ya Yanga.
Anachokitafuta atakipata tu
 
nashauri mwanae huu ndio mda wa kukomaa na baba aandike wosiaa mapema
 
Magoma ana hoja nzito, kama Yanga SC wamelewa na mafanikio ila magoma yeye katimiza wajibu wake na amehoji vitu vya msingi sana na vyenye maslahi mapana kwa Yanga SC
 
Wazee wa Yanga wapo nyuma ya huyu Mzee mwenzao. Hii ni backup plan yao ikitokea huko mbeleni Hersi akazingua au ikifikia mipango yake isipokubaliwa na vyura.

Hii kesi itaelea elea hivyo hivyo ila itakuja kufufuliwa wakati itakapohitajika.
 
Wazee wa Yanga wapo nyuma ya huyu Mzee mwenzao. Hii ni backup plan yao ikitokea huko mbeleni Hersi akazingua au ikifikia mipango yake isipokubaliwa na vyura.

Hii kesi itaelea elea hivyo hivyo ila itakuja kufufuliwa wakati itakapohitajika.
Ona huyu pimbi
 
Anapoteza tu muda. Alipe faini ili iwe funzo pia kwa wazee wengine wapuuzi kama yeye.
Ndio hawa wazeee ujanani walifanya mambo ya ovyo (starehe, pombe, kula tunda kwa masihala, kamari, kukaa vijiweni) leo hii anasumbua uzeheni.

Tunawazee wengi wa kariba hii mitaani. Vijana tuendelee kupambana kila siku na tukiwekeza katika sehem mbalimbali ili kuja kuepusha mambo kama haya uzeheni.
 
Back
Top Bottom