Mzee Mpili yupo Wapi apokee hio kurujuani?Hapa imepuliziwa pafyumu kufanya mtu mkubwa aliyeharibu hali ya hewa mbele ya kadamnasi, tena kaachia kubwa kuliko.
Kolo Wizard Vipi tena? Manara ni Simba?Hahahahahahahaha😃😃😃huyu mzee aisee mumwache atawaumbua..wewe Manara utabakia uchi.....
Atajijua ....yuko huko utopoloni kwny akili mbili...Kolo Wizard Vipi tena? Manara ni Simba?
Kawashika nyie mbumbumbuKawashika vibaya..
Mzee Omar Magoma shikilia hapo hapo...
Niwakumbushe tuu kuna kuru juan..
Mkijaribu tuu.. Tuna watenenga.
😁Mzee wa kurujuani atutake radhi wana Simba kumtaja yule ashura uti kama mwana msimbazi, Simba haina shabiki mtu mzima mwenye kilo saba na nusu kama mtoto mchanga
Nyi huwa mnawaza siasa tuHapa imepuliziwa pafyumu kufanya mtu mkubwa aliyeharibu hali ya hewa mbele ya kadamnasi harufu ya ushuzi wake usisikike wala kuongelewa, tena kaachia kubwa kuliko.