Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Akihojiwa na Youtube TV ya S500 TV, Mzee Magoma ameeleza mengi kujibu hoja za uongozi wa Yanga, na mojawapo ni kuweka wazi kuwa Ali Kamwe (msemaji wa Yanga) ni shabiki wa Simba na alilijua hilo zamani tangu Kamwe akiwa mdogo.
Pia amesema Haji Manara yeye hilo liko wazi, na kuongeza wengine wasiohusika katika sakata hilo kama Ricardo Momo kuwa wote hao ni Simba damu aka wana lunyasi
Pia amesema Haji Manara yeye hilo liko wazi, na kuongeza wengine wasiohusika katika sakata hilo kama Ricardo Momo kuwa wote hao ni Simba damu aka wana lunyasi