Hawajui kama wanamaliza bundle lao tuS500 TV baada ya kuhangaikia sana kupata maudhui yanayovutia kituo chake sasa hivi imepata bingo kwa Mzee magoma. Ni kituo pekee kinachohangaika sana na Magoma kila siku siku hizi Wanapata rizki huko. Vituo uchwara.
View: https://youtu.be/RQyWgTe5bBc?si=xHjCx48gj-5i8FU1
Mwandishi anamuona magoma anafanya kitu cha maana sana kinachostahili kupewa airtime. Mwandishi anatamani akalale uchagoni mwa kitanda cha Magoma. Wazee hawa wanachafua mpira wetu hawapaswi kupewa airtime popote. Wazee wa hivi wako kwenye timu zetu nyingi, timu ikipata ufadhili wanaibuka lakini ikikinga bakuli wanapotea. Wapo hata SimbaHawajui kama wanamaliza bundle lao tu
Utasikia "mzee said aipa ubingwa yanga"Waandishi siku izi wananifurahisha sana Kuna yule ye Kila siku anamhoji yule Mzee said wa Simba, Kila siku wapo nae mpaka najiuliza wanaishi wote😃