Mzee Magoma ametoa ajira S500 TV

Mzee Magoma ametoa ajira S500 TV

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
S500 TV baada ya kuhangaikia sana kupata maudhui yanayovutia kituo chake sasa hivi imepata bingo kwa Mzee magoma. Ni kituo pekee kinachohangaika sana na Magoma kila siku siku hizi Wanapata rizki huko. Vituo uchwara. Ubaya ubwela wa nje ya uwanja. Wakumbuke kuwa akina Magoma wako wengi mitaa.ya kariakoo, Simba Na yanga ndiyo yalikuwa maisha yao,


View: https://youtu.be/RQyWgTe5bBc?si=xHjCx48gj-5i8FU1
 
Waandishi siku izi wananifurahisha sana Kuna yule ye Kila siku anamhoji yule Mzee said wa Simba, Kila siku wapo nae mpaka najiuliza wanaishi wote😃
 
Mw
Hawajui kama wanamaliza bundle lao tu
Mwandishi anamuona magoma anafanya kitu cha maana sana kinachostahili kupewa airtime. Mwandishi anatamani akalale uchagoni mwa kitanda cha Magoma. Wazee hawa wanachafua mpira wetu hawapaswi kupewa airtime popote. Wazee wa hivi wako kwenye timu zetu nyingi, timu ikipata ufadhili wanaibuka lakini ikikinga bakuli wanapotea. Wapo hata Simba
 
Waandishi siku izi wananifurahisha sana Kuna yule ye Kila siku anamhoji yule Mzee said wa Simba, Kila siku wapo nae mpaka najiuliza wanaishi wote😃
Utasikia "mzee said aipa ubingwa yanga"
 
Nilikuwa Sikijui hicho Kituo....!

Asante Kwa Kutustua kwamba Ukitaka Kupata interviews za Magoma, tuende Wapi?
 
Nilikuwa Sikijui hicho Kituo....!

Asante Kwa Kutustua kwamba Ukitaka Kupata interviews za Magoma, tuende Wapi?
haya nenda huko utazipata, S500 wanalala uchagoni kwa Magoma ili akikoroma uzingizini wanapata cha kuandika.
 
Back
Top Bottom