mwakani naolewa
Senior Member
- Jul 25, 2024
- 148
- 426
Mzee Magoma ameshindwa kesi thidi ya Yanga CS ,hukumu imetoka leo 9 August katika Mahakama ya hakimu mkazi Kisutu ambapo Magoma ametakiwa kuilipa fidia Yanga . Amezungumza hayo meneja mawasiliano na habari wa Yanga Ali kamwe leo baada ya kutoka mahakamani na kushinda kesi hiyo.
Pia Soma
- Juma Magoma anataka akabidhiwe uongozi wa Yanga SC na asimamie assets zote za timu
Pia Soma
- Juma Magoma anataka akabidhiwe uongozi wa Yanga SC na asimamie assets zote za timu