Mzee Magoma ashindwa kesi ametakiwa kuilipa Yanga Sc zaidi ya Milioni 70

Mzee Magoma ashindwa kesi ametakiwa kuilipa Yanga Sc zaidi ya Milioni 70

mimi ni mshabiki wa SIMBA!!!,,,ila hili jambo ata ROSTAM AZIZ alishawai kusema!!!,,,kesi inaweza kuwa MAHAKANI,lakini ikapigwa simu kutoka OFISI MOJA ILIYO KILELENI MWA OFISI ZOTE na maamuzi yakapindishw!!!!,,,,,so MAFISADI wa UTOPOLO wameshinda kesi kwa vile jana UTO kamfunga mnyama!!!....ok,ok,ok inaelekea maamuzi yalishaamuliwa HOTELINI wakati wa hafla ya ushindi,,,,ila nilijua tu!! nilipoona mawakili wake hawajahudhuria mahamani wiki ilopita nikajua "basi tena"...........ila marehemu BANZA STONE alipata kuimba hivi "m2 mwenye pesa anaweza kuhamisha milima na mabonde,ila hawezi ishi milelee,aka hawezi kukishnda KIFO!!" da mzee wa wa2 atalazimika kuuza mashamba yake yote uzaramuni na vijumba vyake vya mbagala na buza""" da!!! sidhani kama atamaliza mwaka huu bila kufa PRESSURE!!!!....da!!!! pesa noma ata YUDA ISKARI YOTI,alivuta mkwanja kwa MAYAHUDI na kumgeuka YESU KRISTO..."pesa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"
Mkuu Rostam aziz ni marehemu?
 
mimi ni mshabiki wa SIMBA!!!,,,ila hili jambo ata ROSTAM AZIZ alishawai kusema!!!,,,kesi inaweza kuwa MAHAKANI,lakini ikapigwa simu kutoka OFISI MOJA ILIYO KILELENI MWA OFISI ZOTE na maamuzi yakapindishw!!!!,,,,,so MAFISADI wa UTOPOLO wameshinda kesi kwa vile jana UTO kamfunga mnyama!!!....ok,ok,ok inaelekea maamuzi yalishaamuliwa HOTELINI wakati wa hafla ya ushindi,,,,ila nilijua tu!! nilipoona mawakili wake hawajahudhuria mahamani wiki ilopita nikajua "basi tena"...........ila marehemu BANZA STONE alipata kuimba hivi "m2 mwenye pesa anaweza kuhamisha milima na mabonde,ila hawezi ishi milelee,aka hawezi kukishnda KIFO!!" da mzee wa wa2 atalazimika kuuza mashamba yake yote uzaramuni na vijumba vyake vya mbagala na buza""" da!!! sidhani kama atamaliza mwaka huu bila kufa PRESSURE!!!!....da!!!! pesa noma ata YUDA ISKARI YOTI,alivuta mkwanja kwa MAYAHUDI na kumgeuka YESU KRISTO..."pesa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"
Kolo-witch craps
 
mimi ni mshabiki wa SIMBA!!!,,,ila hili jambo ata ROSTAM AZIZ alishawai kusema!!!,,,kesi inaweza kuwa MAHAKANI,lakini ikapigwa simu kutoka OFISI MOJA ILIYO KILELENI MWA OFISI ZOTE na maamuzi yakapindishw!!!!,,,,,so MAFISADI wa UTOPOLO wameshinda kesi kwa vile jana UTO kamfunga mnyama!!!....ok,ok,ok inaelekea maamuzi yalishaamuliwa HOTELINI wakati wa hafla ya ushindi,,,,ila nilijua tu!! nilipoona mawakili wake hawajahudhuria mahamani wiki ilopita nikajua "basi tena"...........ila marehemu BANZA STONE alipata kuimba hivi "m2 mwenye pesa anaweza kuhamisha milima na mabonde,ila hawezi ishi milelee,aka hawezi kukishnda KIFO!!" da mzee wa wa2 atalazimika kuuza mashamba yake yote uzaramuni na vijumba vyake vya mbagala na buza""" da!!! sidhani kama atamaliza mwaka huu bila kufa PRESSURE!!!!....da!!!! pesa noma ata YUDA ISKARI YOTI,alivuta mkwanja kwa MAYAHUDI na kumgeuka YESU KRISTO..."pesa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"
😂
 
Washamfanyia figisu Mzee Magoma. Lakini atashinda tu Inshaallah. Akakate rufaa
 
mimi ni mshabiki wa SIMBA!!!,,,ila hili jambo ata ROSTAM AZIZ alishawai kusema!!!,,,kesi inaweza kuwa MAHAKANI,lakini ikapigwa simu kutoka OFISI MOJA ILIYO KILELENI MWA OFISI ZOTE na maamuzi yakapindishw!!!!,,,,,so MAFISADI wa UTOPOLO wameshinda kesi kwa vile jana UTO kamfunga mnyama!!!....ok,ok,ok inaelekea maamuzi yalishaamuliwa HOTELINI wakati wa hafla ya ushindi,,,,ila nilijua tu!! nilipoona mawakili wake hawajahudhuria mahamani wiki ilopita nikajua "basi tena"...........ila marehemu BANZA STONE alipata kuimba hivi "m2 mwenye pesa anaweza kuhamisha milima na mabonde,ila hawezi ishi milelee,aka hawezi kukishnda KIFO!!" da mzee wa wa2 atalazimika kuuza mashamba yake yote uzaramuni na vijumba vyake vya mbagala na buza""" da!!! sidhani kama atamaliza mwaka huu bila kufa PRESSURE!!!!....da!!!! pesa noma ata YUDA ISKARI YOTI,alivuta mkwanja kwa MAYAHUDI na kumgeuka YESU KRISTO..."pesa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"
Hivi kulikuwa kuna ulazima kweli wa kuandika haya maneno yote!! Marehemu Rostam Aziz aliwahi kusema...!! 😀
 
Hakuna kesi yoyote Magoma ameshindwa bali pingamizi lake ndiyo limetupwa lakini shauri la msingi hata halijaanza kusikilizwa,ngoma bado mbichi kabisa na mzee wa Kurjuan.
Kwahiyo huko kutupwa kwa pingamizi huoni kama kashindwa kwenye pingamizi? Mbumbumbu FC mna changamoto ya UMBUMBUMBU, na hii inatoka na kuwa kwenye NGADA FC.
 
Yanga wameomba kukata rufaa nje ya muda ndipo Magoma aliweka pingamizi sasa pingamizi lake limekataliwa maana yake Yanga sasa watafungua shauri la rufaa kupinga hukumu,sasa hapo umeona kuna jambo la kufurahia? Subirini hiyo rufaa yenu mkimuangusha huko ndiyo mtasema Magoma ameshindwa kesi.
Nimekuuliza, kushindwa kwa pingamizi lake, huoni huko nako ni kushindwa?
 
mimi ni mshabiki wa SIMBA!!!,,,ila hili jambo ata ROSTAM AZIZ alishawai kusema!!!,,,kesi inaweza kuwa MAHAKANI,lakini ikapigwa simu kutoka OFISI MOJA ILIYO KILELENI MWA OFISI ZOTE na maamuzi yakapindishw!!!!,,,,,so MAFISADI wa UTOPOLO wameshinda kesi kwa vile jana UTO kamfunga mnyama!!!....ok,ok,ok inaelekea maamuzi yalishaamuliwa HOTELINI wakati wa hafla ya ushindi,,,,ila nilijua tu!! nilipoona mawakili wake hawajahudhuria mahamani wiki ilopita nikajua "basi tena"...........ila marehemu BANZA STONE alipata kuimba hivi "m2 mwenye pesa anaweza kuhamisha milima na mabonde,ila hawezi ishi milelee,aka hawezi kukishnda KIFO!!" da mzee wa wa2 atalazimika kuuza mashamba yake yote uzaramuni na vijumba vyake vya mbagala na buza""" da!!! sidhani kama atamaliza mwaka huu bila kufa PRESSURE!!!!....da!!!! pesa noma ata YUDA ISKARI YOTI,alivuta mkwanja kwa MAYAHUDI na kumgeuka YESU KRISTO..."pesa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"
Wewe ni mshabiki wa Simba unayepata maumivu makali sana kipindi hiki Yanga ikiongozwa na GSM ulitamani Yanga irudi enzi za kupitisha bakuli ili timu yako ya Simba itawale kama mlivyofanya kwa Manji. Mo kasema kainunua Simba hampigi kelele kuinusuru timu yenu ya Simba kwa Mo mnakuja kujifanya mnaipigania haki Yanga na vinyimbo vyenu vya mipasho. Pambaneni na Yanga ikiwa ipo vyema kiuchumi acheni janja janja.
 
Back
Top Bottom