mimi ni mshabiki wa SIMBA!!!,,,ila hili jambo ata ROSTAM AZIZ alishawai kusema!!!,,,kesi inaweza kuwa MAHAKANI,lakini ikapigwa simu kutoka OFISI MOJA ILIYO KILELENI MWA OFISI ZOTE na maamuzi yakapindishw!!!!,,,,,so MAFISADI wa UTOPOLO wameshinda kesi kwa vile jana UTO kamfunga mnyama!!!....ok,ok,ok inaelekea maamuzi yalishaamuliwa HOTELINI wakati wa hafla ya ushindi,,,,ila nilijua tu!! nilipoona mawakili wake hawajahudhuria mahamani wiki ilopita nikajua "basi tena"...........ila marehemu BANZA STONE alipata kuimba hivi "m2 mwenye pesa anaweza kuhamisha milima na mabonde,ila hawezi ishi milelee,aka hawezi kukishnda KIFO!!" da mzee wa wa2 atalazimika kuuza mashamba yake yote uzaramuni na vijumba vyake vya mbagala na buza""" da!!! sidhani kama atamaliza mwaka huu bila kufa PRESSURE!!!!....da!!!! pesa noma ata YUDA ISKARI YOTI,alivuta mkwanja kwa MAYAHUDI na kumgeuka YESU KRISTO..."pesa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"