Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaAtakata rufaa mpaka mwsho wa siku watasahau
Ili kuonesha kuwa anayo haki basi onesheni mfano kwa kumpa Simba mzee KilomoniNakazia
Magoma Ana Haki Zote Kupewa Timu
Mashabiki wa yanga wengi ni empty setKUR JUAN IMEMRUDIA MAGOMA
Mzee Magoma ameshindwa kwenye kesi yake dhidi ya Yanga ambapo hukumu imetoka leo Agosti 9, 2024 saa 5 asubuh katika mahakama ya kisutu na anatakiwa kuilipa fidia klabu ya Yanga.
Akizungumza na Wasafi Media, Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe amesema kuwa, Magoma ametakiwa kuilipa Yanga gharama zote walizotumia katika kuendesha Kesi hiyo.
Soma Pia: Juma magoma anataka akabidhiwe uongozi wa Yanga na asimamie assets zote za timu
Wewe dada tafuta mme uolewe.Mashabiki wa yanga wengi ni empty set
That's a problem mtu akianza kutukana nampa ushindi.Wewe dada tafuta mme uolewe.
tafuta pesa upunguze kujieleza sana mzee...mimi ni mshabiki wa SIMBA!!!,,,ila hili jambo ata ROSTAM AZIZ alishawai kusema!!!,,,kesi inaweza kuwa MAHAKANI,lakini ikapigwa simu kutoka OFISI MOJA ILIYO KILELENI MWA OFISI ZOTE na maamuzi yakapindishw!!!!,,,,,so MAFISADI wa UTOPOLO wameshinda kesi kwa vile jana UTO kamfunga mnyama!!!....ok,ok,ok inaelekea maamuzi yalishaamuliwa HOTELINI wakati wa hafla ya ushindi,,,,ila nilijua tu!! nilipoona mawakili wake hawajahudhuria mahamani wiki ilopita nikajua "basi tena"...........ila marehemu BANZA STONE alipata kuimba hivi "m2 mwenye pesa anaweza kuhamisha milima na mabonde,ila hawezi ishi milelee,aka hawezi kukishnda KIFO!!" da mzee wa wa2 atalazimika kuuza mashamba yake yote uzaramuni na vijumba vyake vya mbagala na buza""" da!!! sidhani kama atamaliza mwaka huu bila kufa PRESSURE!!!!....da!!!! pesa noma ata YUDA ISKARI YOTI,alivuta mkwanja kwa MAYAHUDI na kumgeuka YESU KRISTO..."pesa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee"
Hukumu imemchanganya.heeeeeee samahani mkuuu kwani rostam azizi amekuwa marehemu lini tena naona umeandika hapo juu