Mzee Magoma ashindwa kesi ametakiwa kuilipa Yanga Sc zaidi ya Milioni 70

Baada ya kuwahonga wale mawakili wake ili waingie mitini halafu mumkomoe mzee wa watu hii nchi ina shida sana wakati anashinda mara ya kwanza yanga mlikuwa wapi wakati yule mwanasheria wenu kilaza hana anachojua kwenye sheria.
 
Mashabiki wa yanga wengi ni empty set
 
tafuta pesa upunguze kujieleza sana mzee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…