Mzee Magoma: Manara alikuwa mlevi

Wewe mpuuzi, mbona katika clip hiyo unayoyaandika hayamo?
 
Hiyo michezo ya kulewa na kujibinua angeifanya maeneo yetu ya uswahilini hadithi ingekuwa imeshabadilika lakini ninavyoijua magomeni ya kipindi hicho sijui kama kijana hakuchezea bakora.
Ngoja niwatafute wakongwe wa magomeni nipate habari za Haji
 
Hiyo michezo ya kulewa na kujibinua angeifanya maeneo yetu ya uswahilini hadithi ingekuwa imeshabadilika lakini ninavyoijua magomeni ya kipindi hicho sijui kama kijana hakuchezea bakora.
Ngoja niwatafute wakongwe wa magomeni nipate habari za Haji
sijui km alipona km Wazee wenyewe wa Migo Migo ndo akina Julio Pereira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…