Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara ndiyo alianza huu upupu....ngoja inyeshe.Sasa mbona imekuwa personal
Wewe mpuuzi, mbona katika clip hiyo unayoyaandika hayamo?Hii ni mashine moja tu inaitwa Magoma, akija Mwaipopo je? Inasemekana Mwaipopo ni machachali sana, Magoma anasubiri.
Katika mahojiano yake na Sports HQ, Magoma amesema kwamba Haji Manara wakati akiishi Magomeni, alikuwa analewa mpaka anadondoka, anapata madonda, na pia akilewa alikuwa anajibinua kama lori la mchanga....., sasa sijamuelewa Mzee Magoma, Manara alikuwa anajibinua masaburi amaa alikuwa na lengo gani kujibinua!!!!, hawa wazee wa siku mingi wana siri nyingi!
Hakika hii vita imenoga......
#HersiMustGo.
Uto umepaniki ha ha...Relax.Wewe mpuuzi, mbona katika clip hiyo unayoyaandika hayamo?
Hiyo michezo ya kulewa na kujibinua angeifanya maeneo yetu ya uswahilini hadithi ingekuwa imeshabadilika lakini ninavyoijua magomeni ya kipindi hicho sijui kama kijana hakuchezea bakora.Hii ni mashine moja tu inaitwa Magoma, akija Mwaipopo je? Inasemekana Mwaipopo ni machachali sana, Magoma anasubiri.
Katika mahojiano yake na Sports HQ, Magoma amesema kwamba Haji Manara wakati akiishi Magomeni, alikuwa analewa mpaka anadondoka, anapata madonda, na pia akilewa alikuwa anajibinua kama lori la mchanga....., sasa sijamuelewa Mzee Magoma, Manara alikuwa anajibinua masaburi amaa alikuwa na lengo gani kujibinua!!!!, hawa wazee wa siku mingi wana siri nyingi!
Hakika hii vita imenoga......
#HersiMustGo.
sijui km alipona km Wazee wenyewe wa Migo Migo ndo akina Julio PereiraHiyo michezo ya kulewa na kujibinua angeifanya maeneo yetu ya uswahilini hadithi ingekuwa imeshabadilika lakini ninavyoijua magomeni ya kipindi hicho sijui kama kijana hakuchezea bakora.
Ngoja niwatafute wakongwe wa magomeni nipate habari za Haji
Dah hatari 🤣 wazee wameshatatua rinda la Bugatti kitambo.sijui km alipona km Wazee wenyewe wa Migo Migo ndo akina Julio Pereira
Haji mlevi af anapiga sana threesome na vimalaya cheap cheap, anavilipa 50kHaji siyo alikuwa mlevi, ni mlevi hadi sasa.
Watu mna siri!. Nichojifunza ukiwa na 'past' yenye utata ni Bora ukatulia. Anachofanya Haji ni ' Kurusha Mawe wakati na yeye anaishi kwenye nyumba ya vioo'.Dah..
Ila Haji!!
Mungu atusamehe tu.
Tunaomjua,tunamshukuru Mungu kwa hapo alipo.
Magoma mjomba vingine potezea tu,wazawa wa Mji huu hawaishi hivyo.
Mwana Jangwani unaejitambua 😂😂Hapo mwanzo kaongea jambo la msingi sana, Yanga hatukumuenzi Yusuph Manji.
ngara23 umesikia? Huu ndio ukweli, tumemkosea sana Yusuph.
Hukuona Manara alivyokuwa anamshambulia mpaka anasema akikutana naye atamchapa makofi.Sasa mbona imekuwa personal
Kaanza Haji Mzee anamalizia tu, na ameleza hata jinsi Mzee Tozi wa bandarini alivyomfanya huyu takadini kwa ahadi ya kumsaidia kupata Udiwani.Hii vita ya personal attacks itamuacha Haji pabaya sana, angempotezea tu huyu Mzee.Sasa mbona imekuwa personal