Vinaanzaga hivi hivi mkuu...... Hatuombei afikie huko lakini kwa MTU kama Majuto ilitakiwa matibabu isiwe ishu........Regency, Kairuki,Aga Khan.....popote pale alitakiwa atibiwe sio kurudishwa nyumbani eti hakuna kitanda.ata hivyo kwani amesema wapi anaomba michango?
Ajaribu kumtafuta Yesu aponyaye. Madaktari wanatibu lakini uponyaji unatoka kwa Yesu
Naweza nikabadilisha njia nyingineNadhan ni njia unayotumia kuingia JF imeganda kwenye avatar yako ndo maana unaona hivyo kwa wengine. Kila mtu naona ana avatar yake
Mbona waalim na watumishi wengine wanaolipwa kiduchu wanaweza kujimudu kimaisha? tusiwatetee hawa wasanii wetu, wanasahau kuwa kuna kesho wao wanaishi kama leo haiishiLakini pia ndani hii mada nitoe wito kwa wasanii, pengine na Serikali kwa ujumla......binafsi nimeshawahi kufanya kazi kadhaa na wasanii, hawa watu wananyonywa sana, mfano tunamuona Majuto kwenye matangazo mengi ambayo kimsingi yalitakiwa yamuingizie hela nyingi sana lakini ataishiwa kupewa 300,000/= imezidi sana milioni na senti kadhaa......nayasema kwa experience niliyonayo.........wasanii wangekuwa na utaratibu Wa kuweka kiwango chao kwenye matangazo,bila hivyo watadhulumiwa siku zote na kuishia kubaki na majina tu.
Daah!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!Nchi hii ni ya kipuuzi sana kuishi, huwezi pata maendeleo kama unaishi Tanzania zaidi ya kujiunga na lile genge la wahuni (looters) wa CCM ndio utakuwa tajiri
Sheria ya takwimu inamhusu!!Hapo naona huyu Masoud anajitafutia matatizo again......
Kwanini amesema kuhusu habari ya Mzee Majuto kukosa kitanda Muhimbili.... maana hawata chelewa kumuita mchochezi na pengine kushtakiwa kwa kosa la kusema mambo yanayo ihusu Siri Kali hii namba 5, ilhali yeye sio msemaji wake
Mkuu vp mbona unajilengesha.??Acha kuwapotosha watu kijana, ndio maana mnafeli darasani hd maisha. Umeshindwa nini kuelewa kilicho ripotiwa hap? Kuna suala la kuomba msaada wa matibabu hapo? pumbavu na lofa ndio anatabia km zako.
Lakini kama aliandika kwa kupitia tweeter, atasema account yake imedukuliwa kama alivyo fanya Riz1....[emoji13] [emoji13]Sheria ya takwimu inamhusu!!
Unaonaje nikakupa umods huku ndaniNdio kama unatumia browser jaribu kuhamia kwenye application ya Jf au browser nyingine hali itakua shwari.
Acha povu ndugu.Maneno meengi yaliyojaa pumba za dagaa!!. Nini hujaelewa kwenye hiyo post? Mzee ameenda hospitali ya Taifa ya rufaa amekosa kitanda akarudi!! hajaomba msaada wa pesa wala hajalaumu mtu!!.. sasa wewe hizo pumba zako za dagaa na lawama unazitolea wapi? .. ungekua na akili timamu ungehoji why hospitali ya Taifa ya Rufaa haina vitanda vya kulaza wagonjwa lkn wewe unaanza kulaumu kina wema sepetu na hamisa mobeto! Hopeless!!
Hilo unalosema ni kweli chief, hicho kidogo wanacholipwa wanasahau kabisa kwamba kuna kesho.........Mbona waalim na watumishi wengine wanaolipwa kiduchu wanaweza kujimudu kimaisha? tusiwatetee hawa wasanii wetu, wanasahau kuwa kuna kesho wao wanaishi kama leo haiishi
Aende mlonganzilaTaarifa iliyoripotiwa January 25, 2018 ni kuhusu King Majuto ambapo ilisemakana kuwa amelazwa Muhimbili, sasa Masoud aliyetoa taarifa hiyo ambaye ni Afisa habari wa Chama cha waigizaji ameelezea kuhusu Majuto kukosa kitanda Muhimbili na kurudishwa nyumbani.
Masoud amesema kuwa kwa sasa Majuto anaishi Vingunguti kwa ndugu zake ila January 26, 2018 anaripoti hospitali kwa ajili ya vipimo na kinachomsumbua kikubwa ni Presha kwani mwili wake ulikuwa umechoka sana na bado Madaktari wanampima ilikujua tatizo kubwa ni nini.?
"Mzee wetu majuto anaumwa na anaumwa kwa muda mrefu tulifanya utaratibu wa kutoka kwakwe kuja dar ili kutibiwa muhimbili alitakiwa kulazwa ila tukapewa taarifa na madaktari kuwa vitanda vimejaa tukarudi saa nane usiku" Masoud.