Mzee Majuto mgonjwa, akosa kitanda Muhimbili

Mzee Majuto mgonjwa, akosa kitanda Muhimbili

Lakini pia ndani hii mada nitoe wito kwa wasanii, pengine na Serikali kwa ujumla......binafsi nimeshawahi kufanya kazi kadhaa na wasanii, hawa watu wananyonywa sana, mfano tunamuona Majuto kwenye matangazo mengi ambayo kimsingi yalitakiwa yamuingizie hela nyingi sana lakini ataishiwa kupewa 300,000/= imezidi sana milioni na senti kadhaa......nayasema kwa experience niliyonayo.........wasanii wangekuwa na utaratibu Wa kuweka kiwango chao kwenye matangazo,bila hivyo watadhulumiwa siku zote na kuishia kubaki na majina tu.
 
ukiwaona kwenye tv na kumbi za starehe utadhani watu, kumbe hata akiba wanashindwa kujiwekea. Hii ni aibu kwa hawa wanaojiita mastaa wa tanzania. hata hela ya kwenda hospital binafsi wanakosa
 
Lakini pia ndani hii mada nitoe wito kwa wasanii, pengine na Serikali kwa ujumla......binafsi nimeshawahi kufanya kazi kadhaa na wasanii, hawa watu wananyonywa sana, mfano tunamuona Majuto kwenye matangazo mengi ambayo kimsingi yalitakiwa yamuingizie hela nyingi sana lakini ataishiwa kupewa 300,000/= imezidi sana milioni na senti kadhaa......nayasema kwa experience niliyonayo.........wasanii wangekuwa na utaratibu Wa kuweka kiwango chao kwenye matangazo,bila hivyo watadhulumiwa siku zote na kuishia kubaki na majina tu.
Mbona waalim na watumishi wengine wanaolipwa kiduchu wanaweza kujimudu kimaisha? tusiwatetee hawa wasanii wetu, wanasahau kuwa kuna kesho wao wanaishi kama leo haiishi
 
Hapo naona huyu Masoud anajitafutia matatizo again......
Kwanini amesema kuhusu habari ya Mzee Majuto kukosa kitanda Muhimbili.... maana hawata chelewa kumuita mchochezi na pengine kushtakiwa kwa kosa la kusema mambo yanayo ihusu Siri Kali hii namba 5, ilhali yeye sio msemaji wake
Sheria ya takwimu inamhusu!!
 
Acha kuwapotosha watu kijana, ndio maana mnafeli darasani hd maisha. Umeshindwa nini kuelewa kilicho ripotiwa hap? Kuna suala la kuomba msaada wa matibabu hapo? pumbavu na lofa ndio anatabia km zako.
Mkuu vp mbona unajilengesha.??
Au linakuhusu??
My point was
Legendary kama king majuto si mtu wa kukosa kitanda hospital then akarudi nyumbani.
Angekua na comprehensive bima sidhani kama angeenda kupanga foleni muhimbili..angeenda popote penye hospital nzuri.
 
Bongo hakuna supastaa zaidi ya king majuto, get well soon legend!
 
Maneno meengi yaliyojaa pumba za dagaa!!. Nini hujaelewa kwenye hiyo post? Mzee ameenda hospitali ya Taifa ya rufaa amekosa kitanda akarudi!! hajaomba msaada wa pesa wala hajalaumu mtu!!.. sasa wewe hizo pumba zako za dagaa na lawama unazitolea wapi? .. ungekua na akili timamu ungehoji why hospitali ya Taifa ya Rufaa haina vitanda vya kulaza wagonjwa lkn wewe unaanza kulaumu kina wema sepetu na hamisa mobeto! Hopeless!!
Acha povu ndugu.
Hiyo post yako umeiweka kijanja ujanja kwa nia ya kupiga wadau mzinga kisayansi ila greathinkaz machale yamewacheza wakaanza kukutupia za usoni wakilenga komwe, pua, na limdomo lako.

Kama hukuwa na nia ya kutupiga mzinga sikuona sababu ya bandiko lako kwani hospitali ziko nyingi hapa dar.

Kukaa na mgonjwa nyumbani ni dalili ya kukosa girisi.

Ni aibu kubwa kwenu ndugu na huyo mgonjwa wenu kwa umaarufu alionao kumbe hamna kitu kazi kununua mavazi na kujaza matumbo tu

Amesema mdau mmoja hapo juu kuwa wasanii wakibongo akili hamna, wanafikiria leo hawafikirii kesho. Wamewekeza muda na mapato kwenye starehe, ulevi, umalaya na kununua kila mtindo wa mavazi.

Poleni ila muda ni mwalimu.
 
Mbona waalim na watumishi wengine wanaolipwa kiduchu wanaweza kujimudu kimaisha? tusiwatetee hawa wasanii wetu, wanasahau kuwa kuna kesho wao wanaishi kama leo haiishi
Hilo unalosema ni kweli chief, hicho kidogo wanacholipwa wanasahau kabisa kwamba kuna kesho.........
 
Taarifa iliyoripotiwa January 25, 2018 ni kuhusu King Majuto ambapo ilisemakana kuwa amelazwa Muhimbili, sasa Masoud aliyetoa taarifa hiyo ambaye ni Afisa habari wa Chama cha waigizaji ameelezea kuhusu Majuto kukosa kitanda Muhimbili na kurudishwa nyumbani.

Masoud amesema kuwa kwa sasa Majuto anaishi Vingunguti kwa ndugu zake ila January 26, 2018 anaripoti hospitali kwa ajili ya vipimo na kinachomsumbua kikubwa ni Presha kwani mwili wake ulikuwa umechoka sana na bado Madaktari wanampima ilikujua tatizo kubwa ni nini.?

"Mzee wetu majuto anaumwa na anaumwa kwa muda mrefu tulifanya utaratibu wa kutoka kwakwe kuja dar ili kutibiwa muhimbili alitakiwa kulazwa ila tukapewa taarifa na madaktari kuwa vitanda vimejaa tukarudi saa nane usiku" Masoud.
Aende mlonganzila
 
Back
Top Bottom