johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Akiwa Katibu mkuu wa CCM Luteni Kanali mstaafu Yusuf Makamba alisema JK anauzika kirahisi sana Kwa Wapiga Kura Kwa sababu ana mvuto wa kisiasa Kwa Vijana
Ndivyo nami nimwonavyo Tundu Lisu wa Chadema ana mvuto wa kisiasa na haitaji Chawa kumjengea ushawishi Kwa Jami kama afanyavyo mpinzani wake
Ahsanteni sana 😄
Ndivyo nami nimwonavyo Tundu Lisu wa Chadema ana mvuto wa kisiasa na haitaji Chawa kumjengea ushawishi Kwa Jami kama afanyavyo mpinzani wake
Ahsanteni sana 😄