Naye alibobea kuwadhalilisha wazee wa busara.laana inamfuataVIPI na MAKONDA alivyomchapa Makofi Mzee Warioba ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naye alibobea kuwadhalilisha wazee wa busara.laana inamfuataVIPI na MAKONDA alivyomchapa Makofi Mzee Warioba ?
Kwenye kumkatia mauno muumini wake, na kutuletea treni wanaKawe... hapo nakuunga mkoni. Hivi sasa tunasubiria atupeleke Birmingham tukale bataGwajima ni mziki aiseh!
Wanuwasha wanaweza kushindwa kuucheza!!
Achana na yule jamaa ni mziki mwingine kabisa!!!
Hivi sasa ni Gwajima Vs Gwajima. Unamsikiliza yupi hapo kila mtu ataubeba mzigo wake mwenyeweMakamba na mwanae kopo ni kopo na mfuniko.
Vijana siasa zimeshinda!alishaandika kitabu chake inatosha! hatuwezi kuendelea kuwa na wanasiasa wazee kila kukicha!
Iko valid hadi leo!!Hii clip n ya zamani, kipindi gwajima anapinga mahakama ya dini ya kiislamu
ni kweli mwanzo mgumu lakini hakuna jinsi na hii inatokana na tabaka fulani halikupenda kuwaandaa vijana kwa ujumla kama viongozi bali waliandaa watoto wao ili waje kuwa watawala wa nchi.Vijana siasa zimeshinda!
Moja ya vigezo kuruhusiwa kuingia Birmingham ni kuwa umepata chanjo.Kwenye kumkatia mauno muumini wake, na kutuletea treni wanaKawe... hapo nakuunga mkoni. Hivi sasa tunasubiria atupeleke Birmingham tukale bata
Ni baadhi ya vijana sio wote.Vijana siasa zimeshinda!
Na sisi tuko tayari kuchanjwa....Moja ya vigezo kuruhusiwa kuingia Birmingham ni kuwa umepata chanjo.
If you know, you know.