Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Anajua mkichanjwa mtakuwa na vigezo vya kwenda Birmingham. Anawaona wa tz anahisi ni kama waumini wakeNa sisi tuko tayari kuchanjwa....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anajua mkichanjwa mtakuwa na vigezo vya kwenda Birmingham. Anawaona wa tz anahisi ni kama waumini wakeNa sisi tuko tayari kuchanjwa....
Mziki ule wa verse moja?Gwajima ni mziki aiseh!
Wanuwasha wanaweza kushindwa kuucheza!!
Achana na yule jamaa ni mziki mwingine kabisa!!!
Ngoja tuone si tupo mkuuMziki ule wa verse moja?
Dah... kwahiyo ndo tushapigwa changa la macho? Basi acha tusubirie treni aliyotuahidi... nadhani itakuwa inapita angani au bahariniAnajua mkichanjwa mtakuwa na vigezo vya kwenda Birmingham. Anawaona wa tz anahisi ni kama waumini wake
ungemuona live wala usingetaka awe hata mjumbe wa nyumba kumi amezeeka mno
Hawa ndio wanasiasa wa CCM waliobobea.
Makamba alishamchana Gwajima, tena live!
Hili suala la Corona lazima Gwajima aonje joto la jiwe.
Mama Samia mrudishe huyu Mzee awe Katibu Mkuu wa CCM, alikuwa ana deliver message kwa upinzani kisiasa.
kumbukeni ya sabato masaliaGwajima ni mziki aiseh!
Wanuwasha wanaweza kushindwa kuucheza!!
Achana na yule jamaa ni mziki mwingine kabisa!!!
Kwa Imani yakeNgoja tuone si tupo mkuu
Yule hata ubunge naonaga kama alipotea njia tu
Yule kipande kile alichikuwa anacheza alifit sana
Bungeni wengi wanamkoromea na kumfunga kamba miguu na hatokubali
Hapo ndio moto utawaka sasa. Sisi ni kujaza MB tu kushangia mechi hii kali
Rubbish post.
Hawa ndio wanasiasa wa CCM waliobobea.
Makamba alishamchana Gwajima, tena live!
Hili suala la Corona lazima Gwajima aonje joto la jiwe.
Mama Samia mrudishe huyu Mzee awe Katibu Mkuu wa CCM, alikuwa ana deliver message kwa upinzani kisiasa.
Thats your rubbish opinion.Rubbish post.
Ufufuo wa kaburi, Gwajima hebu njoo huku
Hawa ndio wanasiasa wa CCM waliobobea.
Makamba alishamchana Gwajima, tena live!
Hili suala la Corona lazima Gwajima aonje joto la jiwe.
Mama Samia mrudishe huyu Mzee awe Katibu Mkuu wa CCM, alikuwa ana deliver message kwa upinzani kisiasa.
Gwajima ni msemaji TU wa taasisi kubwa, Sukuma gangGwajima atarudi tena kivingine waache wajikusanye ila Gwaji jeshi la mtu mmoja,wasikimbie tu
Hivi kuvuka wimbi la kwanza na la pili ni lazima uwe ulikuwa nalo?Wanasema tumevuka wimbi la Kwanza na la pili
Ni lini tulikua na Hilo wimbi la pili?
Ni wao wenyewe ndio waliokua wanasema corona haipo tumeishinda imetoka wapi leo??!
Gwajima ndo mtu pekee anayeonekana kusimamia anachokiamini
Sio Hawa wengine wachumia matumbo
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Gwaji boy anacheza santuri ya kivyake vyake na anafikiri yeye ndiye prime miver.Gwajima ni mziki aiseh!
Wanuwasha wanaweza kushindwa kuucheza!!
Achana na yule jamaa ni mziki mwingine kabisa!!!
Gwajima kaminya, kila kona zimemuandma kwa kuhubiri asichokijua.Ufufuo wa kaburi, Gwajima hebu njoo huku