Mzee Makamba: Mchungaji Gwajima anayo laana ya kumtukana Kardinali Pengo

Kwa gwajima wajiandae tu

Yule jamaa hakubali kushindwa subiri uone

Kitawaka lazima huwa sio mnyonge kivileee
 
Mziki ule wa verse moja?
Ngoja tuone si tupo mkuu

Yule hata ubunge naonaga kama alipotea njia tu

Yule kipande kile alichikuwa anacheza alifit sana

Bungeni wengi wanamkoromea na kumfunga kamba miguu na hatokubali

Hapo ndio moto utawaka sasa. Sisi ni kujaza MB tu kushangia mechi hii kali
 
Anajua mkichanjwa mtakuwa na vigezo vya kwenda Birmingham. Anawaona wa tz anahisi ni kama waumini wake
Dah... kwahiyo ndo tushapigwa changa la macho? Basi acha tusubirie treni aliyotuahidi... nadhani itakuwa inapita angani au baharini
 
ungemuona live wala usingetaka awe hata mjumbe wa nyumba kumi amezeeka mno
 
Kwa Imani yake

angejiuzulu ubunge tu
 
Jumapili mtaelewa maana ya "one touch double manifestation"...mmeamua kucheza mieleka na nguruwe kwenye matope🤣🤸‍♂️🐒
 
Askofu Rashid Gwajima ameishika CCM na Serikali yake pabaya wamebakia kubweka bweka tu lakini hawana cha kumfanya. Gwajima ana'watu'wakimgusa anakinukisha kinoma
 
Hivi kuvuka wimbi la kwanza na la pili ni lazima uwe ulikuwa nalo?

Haiwezekani wimbi likawapiga wengine nyinyi mkavuka salama?
 
Gwajima ni mziki aiseh!

Wanuwasha wanaweza kushindwa kuucheza!!

Achana na yule jamaa ni mziki mwingine kabisa!!!
Gwaji boy anacheza santuri ya kivyake vyake na anafikiri yeye ndiye prime miver.
Haijui siasa huyu.
Amesha onywa kutika sehemu mbali mbali na su muda mrefu ataujua mziki wa nambari wani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…