Mzee Makamba tubu dhambi ya wazuri hawafi

Mzee Makamba tubu dhambi ya wazuri hawafi

Bado tunasimama na kauli ya Makamba. Magufuli hakuwa mtu mwema ndiyo maana alikufa.

Ukiangalia mazingira yake aliyokuwa anaishi kama Rais utajuwa tu kuwa alikufa kwa kuwa ni mtu muovu kama:-
1. Rais aliye kwenye madaraka
2. Analindwa na Presidential Security Unit
3. Analindwa na askari wenye magwanda ya TPDF
4. Analindwa na magari yenye Internet jammers
5. Analindwa na helicopter angani
6. Analindwa na askari wenye laptops za ku detect vilipuzi
8. Waganga wa Gamboshi na mashehe aliopelekewa na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar
9. Madaktari bingwa wa moyo kama Prof Mchembe na Prof Ngwale
10. Mara nyingine CDF, IGP na DG TISS nao walikuwa wanakuwapo

Kama ni mtu mwema unakufaje hapo?
Amaa kweli Wenda wazimu ni wengi Tanzania
 
Why mnapenda Sana kukuza mambo?
Huyo Mzee siku Ile Ile alirekebisha kauli yake...why mnataka nongwa isiyo Kwisha?
Embu acha unafiki
akurekebisha yeye bali Rais ndio alierekebisha na kumuombea msamaha bali yeye hakuwahi kurekebisha kauli yake
 
Bado tunasimama na kauli ya Makamba. Magufuli hakuwa mtu mwema ndiyo maana alikufa.

Ukiangalia mazingira yake aliyokuwa anaishi kama Rais utajuwa tu kuwa alikufa kwa kuwa ni mtu muovu kama:-
1. Rais aliye kwenye madaraka
2. Analindwa na Presidential Security Unit
3. Analindwa na askari wenye magwanda ya TPDF
4. Analindwa na magari yenye Internet jammers
5. Analindwa na helicopter angani
6. Analindwa na askari wenye laptops za ku detect vilipuzi
8. Waganga wa Gamboshi na mashehe aliopelekewa na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar
9. Madaktari bingwa wa moyo kama Prof Mchembe na Prof Ngwale
10. Mara nyingine CDF, IGP na DG TISS nao walikuwa wanakuwapo

Kama ni mtu mwema unakufaje hapo?
Ila wewe jamaa huwa nakuona kama tahira fulani hivi usiejielewa
 
Bado tunasimama na kauli ya Makamba. Magufuli hakuwa mtu mwema ndiyo maana alikufa.

Ukiangalia mazingira yake aliyokuwa anaishi kama Rais utajuwa tu kuwa alikufa kwa kuwa ni mtu muovu kama:-
1. Rais aliye kwenye madaraka
2. Analindwa na Presidential Security Unit
3. Analindwa na askari wenye magwanda ya TPDF
4. Analindwa na magari yenye Internet jammers
5. Analindwa na helicopter angani
6. Analindwa na askari wenye laptops za ku detect vilipuzi
8. Waganga wa Gamboshi na mashehe aliopelekewa na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar
9. Madaktari bingwa wa moyo kama Prof Mchembe na Prof Ngwale
10. Mara nyingine CDF, IGP na DG TISS nao walikuwa wanakuwapo

Kama ni mtu mwema unakufaje hapo?
Duh, huyu wa Sasa naye COVID au ni nini?
 
Pumzika kwa amani Jasusi Benard Cammilius Membe, waswahili wanasema kulia ni kupokezana. Kauli ya kamaradi wako Mzee Makamba inatumika kukupiga "watu wazuri hawafi". Japo umekata kauli , msiba wako unatoa taswira jinsi kulivyo na tabaka mbili katika Watanzania. Tabaka lililoumizwa na msiba wa JPM leo ndio wanasherekea mauti yako. Tabaka la walifurahia kifo cha muzilankende muyango Leo ndio wanakulilia japo hawana nguvu ya UMMA nyuma yao na msiba umebaki wa familiar chache za mikocheni na masaki.
 
MAKAMBA YUKO SAHIHI (WAZURI HAWAFI UTAJO WAO) WANAENDELEA KUKUMBUKWA KWA MEMA KIZAZI NA KIZAZI
 
MZEE Makamba tubu dhambi uliyowaambia watanzania kuwa watu wazuri hawafi nakushauri hii laana na hii dhambi itakutafuna milele na milele wewe na kizazi chacho, fuatilia maoni ya wengi kwenye mitandao yote utajua taifa lina maumivu makubwa na kauli yako..
Labda akichomoka mwanae mpenzi au mke vinginevyo hawezi badili kauli
 
MZEE Makamba tubu dhambi uliyowaambia watanzania kuwa watu wazuri hawafi nakushauri hii laana na hii dhambi itakutafuna milele na milele wewe na kizazi chacho, fuatilia maoni ya wengi kwenye mitandao yote utajua taifa lina maumivu makubwa na kauli yako..

hayo ni maoni yangu tu kama mtanzania masikini nisiyeweza kukufikia kukupa ujumbe wangu
Huyu namsubiri kwa hamu sana! Siku hiyo nitakula kuku!
 
Sasa nani anae kufatilia wewe chizi flesh zwazwa zombokoko mavi kunuka
Unaniita Chizi fresh halafu bado unanijibu. Anyway unanikubali ila unaona aibu kukiri.

Ila mimi siwezi kukujibu kipumbavu kwa kuwa Mithali 26:4 inasema "Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, usijefanana na yeye"
 
Back
Top Bottom