Bado tunasimama na kauli ya Makamba. Magufuli hakuwa mtu mwema ndiyo maana alikufa.
Ukiangalia mazingira yake aliyokuwa anaishi kama Rais utajuwa tu kuwa alikufa kwa kuwa ni mtu muovu kama:-
1. Rais aliye kwenye madaraka
2. Analindwa na Presidential Security Unit
3. Analindwa na askari wenye magwanda ya TPDF
4. Analindwa na magari yenye Internet jammers
5. Analindwa na helicopter angani
6. Analindwa na askari wenye laptops za ku detect vilipuzi
8. Waganga wa Gamboshi na mashehe aliopelekewa na Sheikh Alhad wa Bakwata Dar
9. Madaktari bingwa wa moyo kama Prof Mchembe na Prof Ngwale
10. Mara nyingine CDF, IGP na DG TISS nao walikuwa wanakuwapo
Kama ni mtu mwema unakufaje hapo?