KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Sasa hivi adi mna quote biblia wakati nyie mlikuwa mnaita wenzenu mashetani leo mmegeuka watu wema eti mnataka maridhianoUnaniita Chizi fresh halafu bado unanijibu. Anyway unanikubali ila unaona aibu kukiri.
Ila mimi siwezi kukujibu kipumbavu kwa kuwa Mithali 26:4 inasema "Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake, usijefanana na yeye"
Alafu upo msibani huku unachezea simu tulia dawa ikuingie zwazwa wewe