Mzee Mbowe ni Mhaini kama wahaini Wengine tu

Makupa

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2011
Posts
6,822
Reaction score
4,034
Tumesikia toka kwa wanachama wa CHADEMA kuwa Mzee Mbowe huwa anakopesha chama chake Fedha na kurejeshwa na chama kwa makubaliano yaliyopo.

Tunauliza, Mzee Mbowe anayo leseni inayotolewa na bank kuu kwa ajili ya kukopesha fedha?

Kama hana leseni, tunaomba akamatwe mara moja na kufunguliwa mashtaka ya utakatishaji fedha.
 
Safari hii mtatunga kila uongo
Kiboko yenu sanduku la kura

Huyo mbelgiji wenu ajiandae lupigwa chini.sanduku.la kura
 
Safari hii mtatunga kila uongo
Kiboko yenu sanduku la kura

Huyo mbelgiji wenu ajiandae lupigwa chini.sanduku.la kura
Kwamba hukumskia yeye mwenyewe kwa kauli yake mbele ya waandishi kuwa huwa anakikopesa chama?
 

i ambaye huna hata hicho chama mbali na kutojua hata maana ya demokrasia?
 
Makengeza kazingua sana, ina maana anataka aje kufia madarakani auu.
 
Acheni kuponda kikoba cha mjomba wangu. Mjomba wangu amekuja mjini kutafuta maisha. Anzisheni vikoba vyenu kama ni rahisi
 
Umeishiwa mpaka umeanza kutumia ujanja wa upande wa pili!!!
 
Wewe hujawahi kukopesha hata kanisa, mtu yoyote maanake ulikuwa na leseni ya BOT? UWT kwanini hamnaga akili?
 
Wewe hujawahi kukopesha hata kanisa, mtu yoyote maanake ulikuwa na leseni ya BOT? UWT kwanini hamnaga akili?
Huna taarifa kuwa biashara ya kukopesha ni lazima uwe na leseni?kama unakopesha bila ya uwepo wa leseni wewe ni mhalifu kama wahalifu wengine tu na siku ukidakwa ndio utajua hujui.
 
Kumbuka, Behind every Government, there is a group of rich men. CCM yenyewe haiendeshwi kwa ruzuku na ada za wanachama tu. Kuna matajiri wanaoichangia. Mbowe is playing such a role in CHADEMA.
 
Wewe ile fedha uliyomkopesha rafiki yako ulikuwa na leseni ya kukopesha?
 
Usimuite mzee huyo ni muhuni fulani fulani tu. Nashauri nyuzi zote za hii NGO zifutwe
 
Kuna evidence au ni maneno ya siasa?
 
Huna taarifa kuwa biashara ya kukopesha ni lazima uwe na leseni?kama unakopesha bila ya uwepo wa leseni wewe ni mhalifu kama wahalifu wengine tu na siku ukidakwa ndio utajua hujui.
Kuna duka lina leseni ya kukopesha mchele au sukari? hivi nyie UWT huwa mnaakili timamu kweli?
 
Kwenye issue ya kukopesha sio lazima uwe na leseni mkuu. Kuna mikopo ambayo ni over the counter, no kama wewe umkopeshe rafiki yako, hiyo haina shida kisheria, na mnaweza kuandikishana kabisa.
 
Kwenye issue ya kukopesha sio lazima uwe na leseni mkuu. Kuna mikopo ambayo ni over the counter, no kama wewe umkopeshe rafiki yako, hiyo haina shida kisheria, na mnaweza kuandikishana kabisa.
Na ukadai Riba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…