Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
Kuna watu wakifanya haya mambo wanaishia kuitwa watu wa hovyo...ukiwa na hela hata ukijamba kanisani watakupa pole
Hapana unajua watu wakizeeka kufiki umri wake halafu hawana changamoto nyingi hujikuta akili zikirudi na kuwa kama za mtoto... Hata wewe inaweza kukutokea ukiweza kufikia umri wake halafu unazoHuyu mzee ameamuliwa kuwa kituko sasa kwenye jamii,hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe k lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
Uzi tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo sukari tu pia kind of mild stroke ona tembea yake
Asikuambie mtu,jamaa kanipiga ngumi ya uso hapo...[emoji16][emoji16]kweli kuanzisha uzi wa kiumbea umbea na kuutetea ni kazi sana[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
wivu ni asili ya wabongo. mWivu huo ujui ukizeeka mapenzi ndiyo yananoga ukizingatia anamtoto mbichi!
Mi naamini hiki ndio kipindi mzee mengi anaenjoi mapenzi kuliko wakati wake wote hapa duniani toka amejua kutianaHuyu mzee ameamuliwa kuwa kituko sasa kwenye jamii,hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe k lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
Uzi tayari.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili nasie vijana wenzake tuanze kumtafuna na kummiminia mbegu nzito