Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Dakika za 90 mechi huwa fasta sana. Refa anakua makini mno,kocha anahakikisha wachezaji hawafanyi uzembe,golikipa anajipanga vyema,beki na viungo wanasimamia majukumu yao sawia huku mshambuliaji akiwa font front kuhakikisha timu inaibuka na shangwe.

Nimekuelewa mkuu, maandalizi ya watu ku takeover the belongings


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dakika za 90 mechi huwa fasta sana. Refa anakua makini mno,kocha anahakikisha wachezaji hawafanyi uzembe,golikipa anajipanga vyema,beki na viungo wanasimamia majukumu yao sawia huku mshambuliaji akiwa font front kuhakikisha timu inaibuka na shangwe.

Hahahahaha tumekuelewa. Dada ndio anazidisha umakini sasa hivi [emoji15].
 
Huyu mzee ameamuliwa kuwa kituko sasa kwenye jamii,hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe k lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.

Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.

Uzi tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
K lyni ameshagundua expire date ya mzee Mangi imekaribia hivyo anapalilia mirathi yake ili muone anastahili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzee ameamuliwa kuwa kituko sasa kwenye jamii,hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe k lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.

Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.

Uzi tayari.

Sent using Jamii Forums mobile app
''Mbele ya mapenzi kiwete anapakatwa'' marehemu Dr Remmy,Mungu amlaze mahari pema.
 
Sijui watoto wake na ndugu zake wako wako wapi?

Nimejiuliza sana hili swali: Kwanini wanakubali kuona baba yao anakuwa kituko kwenye mitandao?

Heshima aliyojijengea yule Mzee inapotea ghafla. Sasa hivi amekuwa kama wakina Diamond Platnumz
 
Back
Top Bottom