Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Mwache ainjoi maisha yake, wazee wenye umri wengi huwa wanajitahidi kuishi kwa furaha

Sent by anonymous user
 
Hivi ana watoto wakubwa tofauti na ao wa k Lyn?
1060790
 
Sijui watoto wake na ndugu zake wako wako wapi?

Nimejiuliza sana hili swali: Kwanini wanakubali kuona baba yao anakuwa kituko kwenye mitandao?

Heshima aliyojijengea yule Mzee inapotea ghafla. Sasa hivi amekuwa kama wakina Diamond Platnumz
Ha ha ha ha amejenga heshima kwa zaidi ya miaka 50, anaiporomosha kwa picha ya sekunde 2,,akiyafanya hayo Diamond hakuna wa kushtuka,,kwa tamaduni na mindset yetu watanzania,,hatujafikia hatua ya kuona kawaida kwa mtu wa type ya Mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha ha amejenga heshima kwa zaidi ya miaka 50, anaiporomosha kwa picha ya sekunde 2,,akiyafanya hayo Diamond hakuna wa kushtuka,,kwa tamaduni na mindset yetu watanzania,,hatujafikia hatua ya kuona kawaida kwa mtu wa type ya Mengi

Sent using Jamii Forums mobile app
Unabaki unajiuliza ndiye huyu aliyekuja na orodha ya mafisadi papa..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini asiweke maisha yake private? Ni vema akaendelea kuwa na yale maisha yake ambayo hata watoto wake hawakuwa na hawako katika camera kiasi hicho. Huyu binti naona anasheherekea Mercy Anna Shangali- Mengi kufa. Ajiangalie sana. Shameful.
 

Kwakweli hawa wanao mpiga picha na video na kumsambaza mitandaoni hawafanyi vizuri,wanamgeuza mzee anayeheshimika na aliye msaada kwa makundi mengi kuwa kituko.

Sipendezwi na hii tabia,wanamfanya kama akina Pierre pombe.
 
Ujinga mtupu,nashangaa hata wanaoshabikia!
Hivi km ndo baba ako unajiskiaje?
Ukivaa viatu vya watt wake kwakweli unajisikia vby!

Yaani pesa tu ikufanye uishiba mtu umri kamzidi baba yako? Aiseee
Huyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.

Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.

Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.

View attachment 1060633

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom