Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mwenye pesa haaibiki, mwache ainjoy life mzee. Kwanza ana mtoto mbichiii!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye pesa haaibiki, mwache ainjoy life mzee. Kwanza ana mtoto mbichiii!!!
Hapana Mzee Mshana... Kuna Abdiel Mengi na Regina Mengi... Aliyefariki ni Rodney Mutie Mengi.Walishakufa wote
Jr[emoji769]
wakiwa uchi sijui inakuaje? Ivo sio laana kumchungulia faza kama uyu!Huyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633
We complicator mshenzi sana [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kuna watu wakifanya haya mambo wanaishia kuitwa watu wa hovyo...ukiwa na hela hata ukijamba kanisani watakupa pole
Sent using Jamii Forums mobile app
Chunguza vizuri uswahilini unapoishi kuna watoto wakali huyo K Lyn anasubiri, by the way she is too old.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anao wakubwa sana tu , mtoto mkubwa i think ana appoach 50 wa kike
Sijaona mtu classic humu zaidi ya porojo tu, labda zaidi tukutane kwenye mishkaki ya samaki na kitimoto Chato street regent estate.Wapo wazuri sana tena mno ila ni hao wavaa dera na wapaka mkorogo wa mama tukinani... huelewi anavaa wigi utadhani katani ya gunia. So lazima asubiri mwanamke so classic kuanza kuongea hadi kucheka. hao wa mtaani akionge Asha ngedere anasubiri akicheka lazima kidole juu hapo sijui utasema ni mzuri au nini anywaya The bird of the same feather ................ Sasa wewe dili na hao wa mtaani kwako acha vitu classic vifuatwe na classic wenzake.n Tshaoooo
Angekuwa hapendwi angeolewa na kuzaa? Akili za kijinga hizi zilizojaa chuki na umaskini ndani yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni maoni yako binafsi, na siyo fact wala evidence.Kuzaa ndio ina justify upendo?kwangu mimi kuzaa Kwake ni kupalilia mirathi , that’s it