Daah !!! hii comment yako inabidi niisome nikisha kuwa nyagi...[emoji56][emoji56][emoji56]Kuna watu wakifanya haya mambo wanaishia kuitwa watu wa hovyo...ukiwa na hela hata ukijamba kanisani watakupa pole
Sent using Jamii Forums mobile app
Irene na Sophia siwajui kiundani huwa napitia page zao huwa naona ni wanawake waliotulia na wenye akili mingi!!!hivi wameolewa na wabongo ???wanamwenzao mwingine jina limenitoka anapiga biashara ya nafaka sana.Huyu na yule rafiki yake Irene Kiwia wote wamedanga sana mpaka wamepata kivuli ndio wametulia, halafu watu ndio wanawaona wadada wapole wote wameingilia ndoa za watu kutaka status mjini, kikundi chao wote, Jacky, Irene, Nancy Sophia Byanaku, yaani Faraja Kota tu ndio alipata mume wake mwenyewe hakuvunja ndoa
Irene na Sophia siwajui kiundani huwa napitia page zao huwa naona ni wanawake waliotulia na wenye akili mingi!!!hivi wameolewa na wabongo ???wanamwenzao mwingine jina limenitoka anapiga biashara ya nafaka sana.
[emoji838]
Too late...ana ndoa ya kiserikali...mke mkubwa ni marehemu...ashamfanya Jack sehemu ya biashara ( Amorete ipo ndani ya IPP na sijui share zake kama zinauzika).Hii kali kabisa. Daaah kumbe aliachwa mataa? Ukweli ingekuwa ni ndugu yangu ningeenda tu nimshauri kuwa maisha yake yawe kwenye usiri tu maana anaweza kuamsha waliolala kwa sababu ona kwa mambo anayofanya kwa sasa mpaka hata mimi Zogwale nimejua nisichokuwa nimejua kuwa huyu mwanamke alikuwa ni kahaba wa casino na kuwa ni internationa prostitute. Aiseee mama wawili tulia kwa sababu sasa anachafuka mitandaoni.
Ila ninawaambia kuna senema anatengeneza huyu. Time will tell.
Huyu mzee had all his life in privacy, out of camera and now his life is so much exposed. Ndugu zake na watoto kama mna akili ya ziada ni vyema waliangalie hili kwa jicho la pili.
Swali la msingi sanaHivi Mzee Mengi unakuta naye ana mishemishe kabisa za kupiga machine na yale mastaili yetu ya kibabe mara kwenye stool mara sakafuni,au zile za kinyooonge harafu dak 3 tu[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa tajiriWenzenu wanatengeneza documentary wapige hela, ninyi mnakuja na mijadala ya hovyo iliyojaa mawazo ya kimasikini. Tujaribu kuwa positive kidogo
Huyu Daniel Yona aliyezaa na Irene ndio yule mzee alikuwa waziri wa Nishati na madini?Sophia ametulia siku zote hakuwahi kua na scandal , Irene kiwia katulia ukubwani alikua mdangaji tu long time katulia baada ya kuzaa na Daniel Yona
Too late...ana ndoa ya kiserikali...mke mkubwa ni marehemu...ashamfanya Jack sehemu ya biashara ( Amorete ipo ndani ya IPP na sijui share zake kama zinauzika).
Hapo hapo kuna mfuko wa Dr. Ntuyabaliwe wa kutoa vitabu mashuleni unadhaminiwa na IPP....unajua kinachofuata? Jack ataingiza ndugu IPP atatafuta influence ndani ya kampuni...ataingia chama tawala....huku akifight haki za umiliki ndani ya IPP hahaaa amnit prophet of doom lakini that's what my intelligence tells me...
Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
Mtoto wakeHuyu Daniel Yona aliyezaa na Irene ndio yule mzee alikuwa waziri wa Nishati na madini?
[emoji838]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watoto wa mjini ukiwakaribisha tu wataka kula chote.Huo si Ujambazi sasa , Shida yote ya nini angetumia huu mwanya kutafuta vya kwake sio kugombea alivyokuta
Haha cjui abdiel na Regina wanamwonaje Jacky, ila nadhani Regina na abdiel wana pesa za kutosha, hivyo hawajali sana Mali za baba yao Zogwale
Maskini akizeeka anaitwa mchawi....tutafute ela bana tupate hata sifa ya kuingia mbinguni.Huyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633
Amorete ni ya kwake. Watoto wale wawili pia ni wa Mengi. Atataka wawe na shares hapo ndo patachimbika koz automatically zutakuwa ni shares zakeHuo si Ujambazi sasa , Shida yote ya nini angetumia huu mwanya kutafuta vya kwake sio kugombea alivyokuta
Vijana mnafeli mnapodhani ''nguvu za kiume'' ni moja ya nguzo za mapenzi.K lynn live on XXL anasema mzee Mengi ana sifa kila ambayo mwanaume anatakiwa kuwa nayo,na zingine kazidisha
Vijana wapi tunafeli!?...yaani mengi anatuzidi hadi nguvu za kiume
Sent using Jamii Forums mobile app