Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Irene na Sophia siwajui kiundani huwa napitia page zao huwa naona ni wanawake waliotulia na wenye akili mingi!!!hivi wameolewa na wabongo ???wanamwenzao mwingine jina limenitoka anapiga biashara ya nafaka sana.

[emoji838]
 
Irene na Sophia siwajui kiundani huwa napitia page zao huwa naona ni wanawake waliotulia na wenye akili mingi!!!hivi wameolewa na wabongo ???wanamwenzao mwingine jina limenitoka anapiga biashara ya nafaka sana.

[emoji838]


Sophia ametulia siku zote hakuwahi kua na scandal , Irene kiwia katulia ukubwani alikua mdangaji tu long time katulia baada ya kuzaa na Daniel Yona
 
Wenzenu wanatengeneza documentary wapige hela, ninyi mnakuja na mijadala ya hovyo iliyojaa mawazo ya kimaskini. Tujaribu kuwa positive kidogo
 
Too late...ana ndoa ya kiserikali...mke mkubwa ni marehemu...ashamfanya Jack sehemu ya biashara ( Amorete ipo ndani ya IPP na sijui share zake kama zinauzika).
Hapo hapo kuna mfuko wa Dr. Ntuyabaliwe wa kutoa vitabu mashuleni unadhaminiwa na IPP....unajua kinachofuata? Jack ataingiza ndugu IPP atatafuta influence ndani ya kampuni...ataingia chama tawala....huku akifight haki za umiliki ndani ya IPP hahaaa amnit prophet of doom lakini that's what my intelligence tells me...

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Sophia ametulia siku zote hakuwahi kua na scandal , Irene kiwia katulia ukubwani alikua mdangaji tu long time katulia baada ya kuzaa na Daniel Yona
Huyu Daniel Yona aliyezaa na Irene ndio yule mzee alikuwa waziri wa Nishati na madini?

[emoji838]
 


Huo si Ujambazi sasa , Shida yote ya nini angetumia huu mwanya kutafuta vya kwake sio kugombea alivyokuta
 
Huo si Ujambazi sasa , Shida yote ya nini angetumia huu mwanya kutafuta vya kwake sio kugombea alivyokuta
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]watoto wa mjini ukiwakaribisha tu wataka kula chote.

[emoji838]
 
Haha cjui abdiel na Regina wanamwonaje Jacky, ila nadhani Regina na abdiel wana pesa za kutosha, hivyo hawajali sana Mali za baba yao Zogwale


IPP ni Mali ya baba Yao na Marehemu mama Yao , sio Mali ya Mzee pekee yake ,wao ndio wameijenga tangu utoto wao mpaka Leo Tangu wanaanza kutengeneza pen mpaka Leo
 
Maskini akizeeka anaitwa mchawi....tutafute ela bana tupate hata sifa ya kuingia mbinguni.
 
Huo si Ujambazi sasa , Shida yote ya nini angetumia huu mwanya kutafuta vya kwake sio kugombea alivyokuta
Amorete ni ya kwake. Watoto wale wawili pia ni wa Mengi. Atataka wawe na shares hapo ndo patachimbika koz automatically zutakuwa ni shares zake

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…