Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Huyu mama akili yake inamtuma kuwa mzee atavuta soon ili hata akianza kujiachia na mirathi apate huruma kuwa alimpenda sana mzee na alimtunza vyema acha ale matunda, hajui kwa Mungu hakuna namba anaweza kumpenda kabla ya mzee.
Umeongea kitu kizito sana...unaweza kuwa unampigia mtu mahesabu kuwa mwaka huu hatoboi ukashangaa we ndo unasepa unamwacha!

Mi toka nione ishu ya lowasa sina hamu, Mungu mkali asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.

Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.

Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.

View attachment 1060633
Account ya Machache anaitumia jaqline kupost huo utumbo #inavyosemekana lakini
 
Irene nae alikuwa na Jackline Mengi kwenye trip ya south nae alikuwa na mzungu wake wote wakaachwa kwenye mataa, bahati mbaya Irene aliachwa na ujauzito wa mtoto wake wa kwanza kurudi home mzee wake akamtimua akapata hifadhi kwa msamaria mpaka akajifungua baada ya muda ndio familia ikamsamehe akarudi Nyumbani, now ni nyumba ndogo ( inayofahamika na familia) ana date na mtoto wa mzee Yona yule alikuwa katibu wa wizara ya madini, jamaa ana pesa ndefu na amezaa na Irene watoto wawili au watatu, now no official nyumba ndogo. Sophia nae kaolewa na mme wa mtu Dokta wa muhimbili nae ni mke wa pili...Yule Muuza nafaka alikuwa nae miss...ndio ana mume wake halali Jenipher ni mke wa mbunge wa muleba ambae now ni naibu waziri wa kilimo.
Mwasu uko juu!

Hao mademu unavyowachambua[emoji119][emoji119][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Irene nae alikuwa na Jackline Mengi kwenye trip ya south nae alikuwa na mzungu wake wote wakaachwa kwenye mataa, bahati mbaya Irene aliachwa na ujauzito wa mtoto wake wa kwanza kurudi home mzee wake akamtimua akapata hifadhi kwa msamaria mpaka akajifungua baada ya muda ndio familia ikamsamehe akarudi Nyumbani, now ni nyumba ndogo ( inayofahamika na familia) ana date na mtoto wa mzee Yona yule alikuwa katibu wa wizara ya madini, jamaa ana pesa ndefu na amezaa na Irene watoto wawili au watatu, now no official nyumba ndogo. Sophia nae kaolewa na mme wa mtu Dokta wa muhimbili nae ni mke wa pili...Yule Muuza nafaka alikuwa nae miss...ndio ana mume wake halali Jenipher ni mke wa mbunge wa muleba ambae now ni naibu waziri wa kilimo.
Muuza nafaka ni Nasreem?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu dada (K-lyn) ni muongo jamani,anasema walikuwa friends na Mengi for three years wakati alimpokonya Madam Ritha na ushoga ukafa,Madam Ritha mpaka BSS ikaanza kuyumba,bi dada akagoma isirushwe tena ITV,Yeye wakati anaanza kumdate Mengi alikuwa anatoka na Mustafa Hasanali (tena walikuwa wanapika na kupakua
Ile interview yake yote ni fix!

Halafu huwezi mdhania!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha mapenzi yana run Dunia
FB_IMG_1554373774355.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom