Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

He was acting weird, none would have believed him to be the Mengi of few years back akiikosoa wizara ya nishati na serikali kwa ujumla.

Victoire alikuwa anasema zile weird tweets anaandika Jacky inawezekana kbsaa...
 
Dakika za 90 mechi huwa fasta sana. Refa anakua makini mno,kocha anahakikisha wachezaji hawafanyi uzembe,golikipa anajipanga vyema,beki na viungo wanasimamia majukumu yao sawia huku mshambuliaji akiwa font front kuhakikisha timu inaibuka na shangwe.
Ulitabiri kifo cha Mengi
 
Death may come on this or any other occasion and find me untroubled except for the loss of you- D.Brutus
 
Hii thread niliwaambia Mengi hayupo sawa,na inawezekana kafariki katika kutafuta ujana zaidi. Majuzi juzi kulikuwa na tweet inaongelea stem cells. Ambayo iliandikwa kwenye tweet ya Mengi. Im sure si Mengi aliyeiandika.
 
Kuna la kujifunza
Huyu mzee aliacha mke halali aliye hustle naye toka ujana wao, akaja mchukuwa kylin, mke wake akafariki miezi michache tu iliyopita sijui aliondoka na maumivu na uchungu wa aina gani leo mengi kamfata na jak kaachwa hapo.
Hapa kuna jambo kubwa ambalo tunapaswa kujifunza.
 
Huyu mama akili yake inamtuma kuwa mzee atavuta soon ili hata akianza kujiachia na mirathi apate huruma kuwa alimpenda sana mzee na alimtunza vyema acha ale matunda, hajui kwa Mungu hakuna namba anaweza kumpenda kabla ya mzee.
Ngoja tuone utekelezaji wa utabiri huu.
 
Kuna la kujifunza
Huyu mzee aliacha mke halali aliye hustle naye toka ujana wao, akaja mchukuwa kylin, mke wake akafariki miezi michache tu iliyopita sijui aliondoka na maumivu na uchungu wa aina gani leo mengi kamfata na jak kaachwa hapo.
Hapa kuna jambo kubwa ambalo tunapaswa kujifunza.
Unajua why alimwacha????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji22]
 
Back
Top Bottom