Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
- Thread starter
-
- #201
Hahahaaa mzee i can feel youVijana mnafeli mnapodhani ''nguvu za kiume'' ni moja ya nguzo za mapenzi.
Narudia tena. Kuna watu wanadhani nguvu za kiume ndiyo kila kitu. Sasa wewe na nguvu zako mfukoni huna kitu na mtu mwenye za kawaida na mfukoni ana mapeni utashindana naye. Nilichangia kulingana na hoja yako inayoonyesha unadhani nguvu za kiume pekee zitakupatia wanawake wazuri. Tafuta noti mazee!Hahahaaa mzee i can feel you
Huna nguvu za kiume au?
Sasa kama huna nguvu za kiume si utaishia kugongewa tu mke,maana hata uwe na mkwanja kiasi gani..lile hitaji la msingi la ngono ambalo kila kiumbe kinahitaji utalifanya vipi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633
Irene nae alikuwa na Jackline Mengi kwenye trip ya south nae alikuwa na mzungu wake wote wakaachwa kwenye mataa, bahati mbaya Irene aliachwa na ujauzito wa mtoto wake wa kwanza kurudi home mzee wake akamtimua akapata hifadhi kwa msamaria mpaka akajifungua baada ya muda ndio familia ikamsamehe akarudi Nyumbani, now ni nyumba ndogo ( inayofahamika na familia) ana date na mtoto wa mzee Yona yule alikuwa katibu wa wizara ya madini, jamaa ana pesa ndefu na amezaa na Irene watoto wawili au watatu, now no official nyumba ndogo. Sophia nae kaolewa na mme wa mtu Dokta wa muhimbili nae ni mke wa pili...Yule Muuza nafaka alikuwa nae miss...ndio ana mume wake halali Jenipher ni mke wa mbunge wa muleba ambae now ni naibu waziri wa kilimo.Irene na Sophia siwajui kiundani huwa napitia page zao huwa naona ni wanawake waliotulia na wenye akili mingi!!!hivi wameolewa na wabongo ???wanamwenzao mwingine jina limenitoka anapiga biashara ya nafaka sana.
[emoji838]
Irene nae alikuwa na Jackline Mengi kwenye trip ya south nae alikuwa na mzungu wake wote wakaachwa kwenye mataa, bahati mbaya Irene aliachwa na ujauzito wa mtoto wake wa kwanza kurudi home mzee wake akamtimua akapata hifadhi kwa msamaria mpaka akajifungua baada ya muda ndio familia ikamsamehe akarudi Nyumbani, now ni nyumba ndogo ( inayofahamika na familia) ana date na mtoto wa mzee Yona yule alikuwa katibu wa wizara ya madini, jamaa ana pesa ndefu na amezaa na Irene watoto wawili au watatu, now no official nyumba ndogo. Sophia nae kaolewa na mme wa mtu Dokta wa muhimbili nae ni mke wa pili...Yule Muuza nafaka alikuwa nae miss...ndio ana mume wake halali Jenipher ni mke wa mbunge wa muleba ambae now ni naibu waziri wa kilimo.
Bravoo halafu kyln anajua kumpa vyakula vya afya kawa mweupe hadi raha mwaya .Huyu mzee ameamriwa kuwa kituko sasa kwenye jamii.
Hizi video zake zinazosambaa anatamka maneno ambayo hayasikiki akiwa mbele ya mkewe K-Lyn ni dhahiri kwamba analazimishwa tu kufanya mambo yanayomdhalilisha.
Umri wake siyo wa kukaa kutufundisha mapenzi.
View attachment 1060633
Anao,tena wakubwa wa age ya Jacq,mmoja alifarikiHivi ana watoto wakubwa tofauti na ao wa k Lyn?
Mercy (RIP) Mzee alimuacha kwa sababu alimfumania na family Dr.more than once,mzee ndo akanawa mikonoI love JF. Kahaba mtaafu anajifanya an Angel. Ila wamekutana maana na mzee kwa toto dogodogo za mjini alimaliza. Wako vijana wa mjini walineemeka kwa kukuwadia mzee mabinti wakali mjini. Pole mtalaka Mercy Anna kwa machungu ya mzee mliyetafuta wote mkaneemeka ila mwishowe akaona hufai. Maisha hayana umilele hata kama una hela kifo huwezi zuia. Iko siku na siku inakuja.
Jeniffer A.K.A mama AlaskaIrene na Sophia siwajui kiundani huwa napitia page zao huwa naona ni wanawake waliotulia na wenye akili mingi!!!hivi wameolewa na wabongo ???wanamwenzao mwingine jina limenitoka anapiga biashara ya nafaka sana.
[emoji838]
Nilikuwa najua mama ndio alimwacha mzee labda sababu mzee alikuwa wa totozi sana kumbe mama nae alikuwa mchepukaji.Mercy (RIP) Mzee alimuacha kwa sababu alimfumania na family Dr.more than once,mzee ndo akanawa mikono
Huyu dada (K-lyn) ni muongo jamani,anasema walikuwa friends na Mengi for three years wakati alimpokonya Madam Ritha na ushoga ukafa,Madam Ritha mpaka BSS ikaanza kuyumba,bi dada akagoma isirushwe tena ITV,Yeye wakati anaanza kumdate Mengi alikuwa anatoka na Mustafa Hasanali (tena walikuwa wanapika na kupakua
Mercy (RIP) Mzee alimuacha kwa sababu alimfumania na family Dr.more than once,mzee ndo akanawa mikono
Ndiyo,na K-lyn alikuwa anamuita mme wangu😄😄Nakumbuka alimfanya mpaka mustafah akakatwe utumbo ili apungue kumlizisha kylin enzi zile Mustafa alikua kibonge hatari
Yote yanawezekana,ila si unajua wanaume huwa hawapendi kugongewa hata kama wao wanagonga njeKwa Mzee alivyokua analala na madem Hovyo sishangai kama yule mama alichepuka kama ni kweli mama alichepuka itakua ni kwa ajili ya stress za Mzee