Nasikia amewapanga ndugu zake vizuri sana na kufanikiwa kumteka Mzee. Nasikia haoni wala hasikii. Poor him. His children need to rescue him.Huyu mama akili yake inamtuma kuwa mzee atavuta soon ili hata akianza kujiachia na mirathi apate huruma kuwa alimpenda sana mzee na alimtunza vyema acha ale matunda, hajui kwa Mungu hakuna namba anaweza kumpenda kabla ya mzee.
Hapana unajua watu wakizeeka kufiki umri wake halafu hawana changamoto nyingi hujikuta akili zikirudi na kuwa kama za mtoto... Hata wewe inaweza kukutokea ukiweza kufikia umri wake halafu unazo
Jr[emoji769]
Hahaaa!!!ahsanteNyie pondeni wee ila mkae mkijua K.Lynn ndio the next boss lady atakaekuja baada ya Zari. Hapo anachanga karata zake vizuri tu ili asije akamzingua boss kazi!
Nyie endeleeni kumuona chizi ila baada ya mazishi akianza kuwanyoosha instagram kwa kupost ma rolce royce watoto wa mjini lazma mtie akili!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nyie pondeni wee ila mkae mkijua K.Lynn ndio the next boss lady atakaekuja baada ya Zari. Hapo anachanga karata zake vizuri tu ili asije akamzingua boss kazi!
Nyie endeleeni kumuona chizi ila baada ya mazishi akianza kuwanyoosha instagram kwa kupost ma rolce royce watoto wa mjini lazma mtie akili!
ukisikia utuuzima hovyo ndio huo ...katika umri huo mzee mzima anageuzwa kuwa kituko cha insta !!? naona hata watoto zake wamemshinda busara sasaSijui watoto wake na ndugu zake wako wako wapi?
Nimejiuliza sana hili swali: Kwanini wanakubali kuona baba yao anakuwa kituko kwenye mitandao?
Heshima aliyojijengea yule Mzee inapotea ghafla. Sasa hivi amekuwa kama wakina Diamond Platnumz
very trueHa ha ha ha amejenga heshima kwa zaidi ya miaka 50, anaiporomosha kwa picha ya sekunde 2,,akiyafanya hayo Diamond hakuna wa kushtuka,,kwa tamaduni na mindset yetu watanzania,,hatujafikia hatua ya kuona kawaida kwa mtu wa type ya Mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
mzee mengi hana Acc jf ..angalieni msije kumuua kwa pressure tuKinje na yeye alimfanya Kylin kama wifey kwa hiyo hakumuuza kwa wenzie, kinachonisikitisha Kylin alikua anasagana na Salama Jabir na hile kujiuza kwenye macasino kule JMAll samora alikua anachezesha pale casino , muda ukiisha kama una hela unaondoka nae ( Kahaba mstaafu)
oohhpssmengi alishea housegirl wake na mtoto wake muttie muone hivyo hivyo huyo hafai tabia mpaka dogo akahama home kwa hasira
Huyu mama akili yake inamtuma kuwa mzee atavuta soon ili hata akianza kujiachia na mirathi apate huruma kuwa alimpenda sana mzee na alimtunza vyema acha ale matunda, hajui kwa Mungu hakuna namba anaweza kumpenda kabla ya mzee.
Nasikia amewapanga ndugu zake vizuri sana na kufanikiwa kumteka Mzee. Nasikia haoni wala hasikii. Poor him. His children need to rescue him.
Wabongo aisee mna manenooo..yaani uchawi wa freemason ukadunde kwa uchawi wa hapo kigoma jamani!???Amemteka kiuchawi mkuu akisaidiwa na ndugu zake ( Kylin) Ni dawa tu hizo , uchawi wa kigoma nawajua waganga wake wanaowapumbaza Mzee na familia yake yote wasiseme chochote
Nataka nikusukumie kipande cha nyama kwenye mafla yako niizibueAiseee,na wewe amewahi kukupiga brush Nini?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabongo aisee mna manenooo..yaani uchawi wa freemason ukadunde kwa uchawi wa hapo kigoma jamani!???
Sema tu huyo demu atakua hata anamtawadha mzee kwa ulimi..ndio maana kachanganyikiwa,huba likikoza unachanganyikiwa kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app