Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

Mzee Mengi anapolazimika kuwa kituko mbele ya jamii

I love JF. Kahaba mtaafu anajifanya an Angel. Ila wamekutana maana na mzee kwa toto dogodogo za mjini alimaliza. Wako vijana wa mjini walineemeka kwa kukuwadia mzee mabinti wakali mjini. Pole mtalaka Mercy Anna kwa machungu ya mzee mliyetafuta wote mkaneemeka ila mwishowe akaona hufai. Maisha hayana umilele hata kama una hela kifo huwezi zuia. Iko siku na siku inakuja.

Siku yenyewe imewadia, ni leo mkuu. Uliongea kama mtabiri
 
Ofcoz, hata inasemekana kifo chenyewe kimejaa sintofahamu

All in all mzee alikua kaenda age sana
Mkuu Mengi hakuwa Mzee kihivyooo 75 ni bado sana sema ugonjwa nadhani alipata stroke
Hakupata muda mzuri wa kupumzika na kurecover
Alikuwa anapelekeshwa sana. Umri kama ule alipashwa awe ametulia kusafiri hapa na pale ikibidi awe free from stress ajilie matunda ya kazi yake
Ma mdogo alikuwa ana fanya aishi kama mtu wa 50-65 wakati Mzee umri wa pilikapilika ulikuwa umekwenda zake

Anyways who are we to judge
Mungu asimamie hili kuwe na amani kati yao kama familia.
Huruma lakini dah
 
Kuna la kujifunza
Huyu mzee aliacha mke halali aliye hustle naye toka ujana wao, akaja mchukuwa kylin, mke wake akafariki miezi michache tu iliyopita sijui aliondoka na maumivu na uchungu wa aina gani leo mengi kamfata na jak kaachwa hapo.
Hapa kuna jambo kubwa ambalo tunapaswa kujifunza.
Unajua ni kwa nini waliachana? Jambo usilolijua hasa mambo ya ndoa usilaumu tu. BTW kifo cha mke wake na yeye havina uhusiano wowote. Nin imani zenu potofu tu!
 
Hii kali kabisa. Daaah kumbe aliachwa mataa? Ukweli ingekuwa ni ndugu yangu ningeenda tu nimshauri kuwa maisha yake yawe kwenye usiri tu maana anaweza kuamsha waliolala kwa sababu ona kwa mambo anayofanya kwa sasa mpaka hata mimi Zogwale nimejua nisichokuwa nimejua kuwa huyu mwanamke alikuwa ni kahaba wa casino na kuwa ni internationa prostitute. Aiseee mama wawili tulia kwa sababu sasa anachafuka mitandaoni.

Ila ninawaambia kuna senema anatengeneza huyu. Time will tell.
Huyu mzee had all his life in privacy, out of camera and now his life is so much exposed. Ndugu zake na watoto kama mna akili ya ziada ni vyema waliangalie hili kwa jicho la pili.
Duh!
 
Mkuu Mengi hakuwa Mzee kihivyooo 75 ni bado sana sema ugonjwa nadhani alipata stroke
Hakupata muda mzuri wa kupumzika na kurecover
Alikuwa anapelekeshwa sana. Umri kama ule alipashwa awe ametulia kusafiri hapa na pale ikibidi awe free from stress ajilie matunda ya kazi yake
Ma mdogo alikuwa ana fanya aishi kama mtu wa 50-65 wakati Mzee umri wa pilikapilika ulikuwa umekwenda zake

Anyways who are we to judge
Mungu asimamie hili kuwe na amani kati yao kama familia.
Huruma lakini dah
hii ndio huwa tunasema
Mwanakuyataka....mwanakuyapata wazee wetu sijui vipi mtu mzima 70s unaenda kuoa binti wa 30s jamani! Hapa mwisho alionekana anafanya Mambo ambayo Wala sio style yake kabisa ..... Mfano mapicha picha kwenye anniversary, mbona hatukuwahi kumuona mzee Mengi akifanya hivyo ktk kipindi alipokuwa mzima wa afya, alipokuwa anaongea maneno yanatoka vizuri!
 
Siku yenyewe imewadia, ni leo mkuu. Uliongea kama mtabiri
Ni Njia yetu site Mkuu. Ila ukiwa na pesa ni bora ukaweka kiburi au mzaha pembeni hasa inapotokea kifo cha mwenza mliyechuma wote ila mkashindwa kuishi pamoja baadaye.
 
Kama ulinusa vile mkuu.
Braza mengibkabakidha miaka michache sana katika maisha yake, alikuwa busy kusaka pesa sasa acha afanye hayo unayoona ni ya kijinga ila kiuhalisia anafurahia maisha yake ya mwisho mwisho
 
Kuna la kujifunza
Huyu mzee aliacha mke halali aliye hustle naye toka ujana wao, akaja mchukuwa kylin, mke wake akafariki miezi michache tu iliyopita sijui aliondoka na maumivu na uchungu wa aina gani leo mengi kamfata na jak kaachwa hapo.
Hapa kuna jambo kubwa ambalo tunapaswa kujifunza.
Mke wake alikuwa mshenzi tu nae, i dont see a point kama una hustle na mwanamke kisha anakusaliti na kutaka kukuua kwa sumu unaokolewa na dakatari wa familia. Huo upendo wako utaendelea kuwepo kwa mtu huyo kweli? Hata wewe mkeo akifanya hayo unaendelea kumpenda ama unaachana nae!?

Atleast mkewe amekufa natural death, tofauti na vile ambavyo yeye alitaka Mengi afe. They had children together hilo halibadiliki ila haiondoi ukweli kuwa mwanamke wake alikuwa mshenzi na alimpa stress za ajabu enzi za ujana wake.

Na pia nadhani mzee aliathirika sana kisaikolojia na hio hali na kuona mwanamke ni kitu cha hovyo tu aheri awe anagonga na kuwaacha akikinai. Ila lately baada ya moyo kupona ndio akaona kumbe kuna wanawake proper tu anaweza kuoa na kuanzisha nae familia vyema tu ndio kumuoa K-Lynn
 
Mke wake alikuwa mshenzi tu nae, i dont see a point kama una hustle na mwanamke kisha anakusaliti na kutaka kukuua kwa sumu unaokolewa na dakatari wa familia. Huo upendo wako utaendelea kuwepo kwa mtu huyo kweli? Hata wewe mkeo akifanya hayo unaendelea kumpenda ama unaachana nae!?

Atleast mkewe amekufa natural death, tofauti na vile ambavyo yeye alitaka Mengi afe. They had children together hilo halibadiliki ila haiondoi ukweli kuwa mwanamke wake alikuwa mshenzi na alimpa stress za ajabu enzi za ujana wake.

Na pia nadhani mzee aliathirika sana kisaikolojia na hio hali na kuona mwanamke ni kitu cha hovyo tu aheri awe anagonga na kuwaacha akikinai. Ila lately baada ya moyo kupona ndio akaona kumbe kuna wanawake proper tu anaweza kuoa na kuanzisha nae familia vyema tu ndio kumuoa K-Lynn
Umeandika kwa hisia mno. [emoji22]
 
Unaambiwa mzee alikua amemuandikisha klyn kila kitu 50%. Ikafikia hatua hadi akataka kumuweka kwenye board of directors lkn watoto wake kina regina ndo wakaja juu na kufungua kesi mahakamani kwamba mzee wao anapelekeshwa kufanya maamuzi na klyn coz mzee ni mgonjwa so anashindwa kujisimamia

kuna maneno ya Mange yanaendelea instagram, sijui kama ni kweli, lkn kama ni kweli basi klyn alicheza bonge moja la movie
ukikabidhi akili zako kwa Mange Kimambi basi utakuwa na matatizo ya akili kuliko huyo Mange mwenyewe.
 
Dah mambo yasiwe mengi na mengi yasiwe mambo.
 
Mkuu Mengi hakuwa Mzee kihivyooo 75 ni bado sana sema ugonjwa nadhani alipata stroke
Hakupata muda mzuri wa kupumzika na kurecover
Alikuwa anapelekeshwa sana. Umri kama ule alipashwa awe ametulia kusafiri hapa na pale ikibidi awe free from stress ajilie matunda ya kazi yake
Ma mdogo alikuwa ana fanya aishi kama mtu wa 50-65 wakati Mzee umri wa pilikapilika ulikuwa umekwenda zake

Anyways who are we to judge
Mungu asimamie hili kuwe na amani kati yao kama familia.
Huruma lakini dah
Kuna mambo mengine usiposhirikisha ubongo wako vizuri ukaruhusu hisia za mahaba zikachukuwa mahali pa ubongo basi unajitafutia kifo cha mapema au migogoro isiyo isha.
 
Back
Top Bottom