Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

Mzee Mengi na Jacqueline maisha ni motomoto,wakubwa wanafaidi

Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Msiwapangie watu matumizi,
 
Hayo siyo mapenzi. Ni utovu wa nidhamu. Mtu ukikosa hofu ya Mungu unaweza kufanya kila jambo kwa kuwa unakosa aibu. Hajiulizi watoto wake wanamwona vipi babu huyo kutoka hadharani na mtoto mdogo anayemwita mke. Nadhani ana wajukuu wakubwa kuliko hao watoto anaotamba nao.
HIV in wapi biblia imeandika hoa mwanamke miaka fulani au olewa na mwanaume miaka fulani
 
Hata mahindi yakuchoma machanga ndio matamu.
Mzee kula maisha
 
View attachment 341454 View attachment 341456 View attachment 341458 View attachment 341460 View attachment 341462 View attachment 341463 View attachment 341464 View attachment 341465

Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima.

Bata mara moja moja kama hivi si haba,unakula bata na watoto na wife hapa na pale..Mambo ya kuja Dsm kwa kupanda fuso peleka huko...
Wakinga hao kabila LA kikuda sana hili wengi wana roho mbaya na hawapendi maendeleo ya wengine kwa makete eti Bulongwaa takataka tu Ccm wanakwambia mbele kwa mbele sijajua hawa watu wana raha gani? Fyuuuuu
 
yani nimecheka sana hizi chats leo...mara apeche alolo,vibabu,mjukuu,six packs uwe baunsa wa clubs, iphone tu kulalamika nk😀😀😀😀
 
Safi sana wamependeza kama vile madam Flora "Mbasha" alivyopendeza na mumuwe mpya Daudi
 
Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Watafuteni wanaume waliioa wachaga waulizeni wake zao vipi, wako sawa!? Mwacheni Mzee Mengi mlitaka afe mapema kwa presha za mkewe wa kichaga asiejua hata kumpa pole mumewe akitoka kazini? Achilia mbali kushindwa hata kumpikia chai!!

Na aliewambia mwanaume anazeeka nani? Kama mitata inasoma fresh mwanaumbe anapiganmzigo hadi miaka 80! Hana expired date
 
Pesa nzuri sana ingekua cyo pesa ako kabint kangegegedwa na michemba daily
 
Kama demu hana mzigo wa haja mi sioni kipya kwake,Huyo kyelin mwenyewe flat
 
Back
Top Bottom