Msiwapangie watu matumizi,Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Nilizisikia nikiwa na miaka kumi paka leo 29 bado anadunda ilikuwa in fununu tuHivi si kuna habari zilivuma kuwa huyu Mzee ameungua?
HIV in wapi biblia imeandika hoa mwanamke miaka fulani au olewa na mwanaume miaka fulaniHayo siyo mapenzi. Ni utovu wa nidhamu. Mtu ukikosa hofu ya Mungu unaweza kufanya kila jambo kwa kuwa unakosa aibu. Hajiulizi watoto wake wanamwona vipi babu huyo kutoka hadharani na mtoto mdogo anayemwita mke. Nadhani ana wajukuu wakubwa kuliko hao watoto anaotamba nao.
Hakuna. Hapo hakuna kuoa wala kuolewa ila kuna uzinzi na uaherati. Mengi ana mke wa ndoa.HIV in wapi biblia imeandika hoa mwanamke miaka fulani au olewa na mwanaume miaka fulani
Kula nchi sio kulamba udongo ndugu yangu!Mema ya nchi
HahahahaSasa nyie wanaume endeleeni kutafuta six packs mkawe mabaunsa wa kwenye clubs
Nyau weweKama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela
Wakinga hao kabila LA kikuda sana hili wengi wana roho mbaya na hawapendi maendeleo ya wengine kwa makete eti Bulongwaa takataka tu Ccm wanakwambia mbele kwa mbele sijajua hawa watu wana raha gani? FyuuuuuView attachment 341454 View attachment 341456 View attachment 341458 View attachment 341460 View attachment 341462 View attachment 341463 View attachment 341464 View attachment 341465
Kweli pesa ni kila kitu.Hizi ndio pesa na raha yake,sio wale watani zangu wa Nyanda za Juu Kusini,unakuwa na pesa halafu mke unamuweka kama "msukule" anakaa tu dukani siku nzima.
Bata mara moja moja kama hivi si haba,unakula bata na watoto na wife hapa na pale..Mambo ya kuja Dsm kwa kupanda fuso peleka huko...
Siri ya mtungi..Duhhhhhhhhhhh mpaka raha
Cc @:Smart911
Watafuteni wanaume waliioa wachaga waulizeni wake zao vipi, wako sawa!? Mwacheni Mzee Mengi mlitaka afe mapema kwa presha za mkewe wa kichaga asiejua hata kumpa pole mumewe akitoka kazini? Achilia mbali kushindwa hata kumpikia chai!!Kama ndo hivyo kweli angebakia na mke wake yule yule waliyeanzaga naye kutafuta miamia
Siyo jizeee kama hilo linachukua kidemu kisa lina hela