Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Sijui nani karuhusu huu uhuru wa atusi tz. Chapa chapa wooote wenye matusi!lol!


Upumbavu sio tusi, ni wasifu wa ndani wa mtu, yaani mtu anayejui kama hajui na hataki kujua, huyo ni mpumbavu. Lakin yule ambaye anajua kuwa hajua na akataka kujua, huyo ni mjinga anataka kuondoa ujinga wake
 
nchi hii ilishakombolewa na wazee wetu wakiongozwa na mw. nyerere miaka dahali iliopita sasa anakuja mtu anasema anataka kutukomboa ni ukosefu wa akili tena narudia mpumbavu mkubwa
Wazee wetu hao walitukomboa toka makucha ya mkoloni. Wakatudanganya tupo huru kumbe wakatuweka kwenye makucha ya CCM . Mtu mweusi anatutawala. Anatuchagulia viomgozi wetu. Anatuchagulia dawa gani ziwe hospitali, anaamua watoto wetu waende shule gani. Je ndugu unajiona umekomboka! Biblia inatufundisha kuziwa mara ya pili. May be this Tanzania need a second birth!
 
</script>width:100%; height:100px" dir="ltr">
Kwa kumjuwa sana hivyo na bado akamweka waziri mkuu kwa miaka kumi na huo upumbavu wake, je mpumbavu hapo ni nani??

swali zuri sana hili na ikiwezekana wakati akiomba msamaha kwa kuwatukana wapiga kura wake atuambie ni kwanini alituteulia waziri mkuu mpumbavu na lofa kutuongoza kwa miaka kumi? Lengo lake lilikuwa nini?
 
Huyo mtoto wa kike mweusi nishafanya kazi naye kona moja hivi...
 
Uongozi Ni Mkufa Kuja Kwa Sumai Ni Kuwa Sehemu Ya Mkufu Hakuja Kufundisha Kaja Kusaidia
 

Uko sahihi kwa jambo moja..CCM safari hii wanatumia lugha ambazo Chadema wamekuwa wanazitumia sana kwenye majukwaa yao.
Sugu alishaita viongozi bungeni na alitetea sana hajatukana na akasema upumbavu ni "lack of knowledge or understanding".

Mnyika naye alishakuwa maarufu kwa kutumia neno "dhaifu" bungeni. Sina haja ya kukwambia neno hilo lilichukua kasi kiasi gani.

Mwaka huu kwa mtizamo wangu CCM wameamua kujibu mapigo na kutumia maneno na mbinu zile zile za ukawa..mafuriko kwa mafuriko..lugha kali kwa lugha kali.
CCM wamebadili gia angani na kiwaacha wengi wameduwaa maanake walitegemea wakae kiCCM na wapigwe kiCCM. Hata Dr. Shieni ambaye huwa ni mkimya na mtulivu alipiga kijembe kikali cha "wembe utawanyoa pande zote..mbele na..."

Mara nyingi CCM imeitwa sana Fisiemu hata humu jukwaani.Na wafuasi wao wamezomewa sana hadi kipindi flani JK akawaambia wasiwe wanyonge.

CCM ya mwaka huu maji yako shingoni..ni jino kwa jino na jicho kwa jicho.

Kama sababu yako ya kupigia Ukawa ni "matusi" ya Ukawa pole sana.

Angalizo tu; mgombea ni nani kati ya Magufuli na Mkapa? Angalia usijejikuta unatafuta jina la Mbowe kwenye karatsi wa kupigai kura.
 
Last edited by a moderator:
Nadhani ungeuliza kwanza ukombozi upi maana nchi haijakombolewa katika mambo mengi.uchumi,wizi,elimu etc
 
Mbona meambiwa ni malofa ninyi kwa vigezo vizuri tu kama chama
Jibuni hilo.
 

Nilikuwa nakuheshimu sana Faiza,lakini toka leo sikuheshimu tena na nnawaambia wanajamvi,"msimuheshimu Faiza,amekuwa mlevi yeye,amekuwa mjinga yeye, alikuwa na heshima lakini msimuheshimu tena,amekuwa kama mtoto mdogo aliyevaa pampas,anajinyea yeye!
Yani amekula chakula chake sijui kala maharage ya wapi yeye!Nilikuwa namheshimu ila simuheshimu tena!
 

Mkuki kwa nguruwe(CCM)kwa binadamu(CHADEMA) mchungu.
Jana wamerushiwa makmbora ya uhakika pamoja na vejembe, na kwa lugha ile ile tunayoiona humu JF.
Na JK ksema antukanwa sana kwenye mablogi, sasa UKAWA wasubiri lugha za KIBAJAJI
 
Toa maoni yako. Unaamini kuwa wapiga kura wengi ni vijana ambao ndio malofa
 
Ukiona mtu familia imemshinda jua hata uwezo wake wa kufiri uko chini hata kama ni kiongozi mkubwa
 

Gwajima akikusikia atakudai fidia ya hakimiliki au kukupa sinia la malimao &#128518;&#128518;
 
Baada ya kuoneka dhahiri kuwa walioenda ukawa ni waliopoteza dira, Mzee maigizo kaona akwee daladala kutafuta huruma ya wananchi na kuleta usumbufu barabarani.
 
Pole kwa Watanzania kuelewa isivyo kauli "upumbavu na ulofa". Nami mwanzo nilielewa kama maneno hayo ni matus. Lakini maana halisi ya "mpumbavu" ni mtu asiyetumia busara katika maamuzi yake. Mara nyingi ni watu ambao hufuata upepo. Kwa mfano katika hali ambayo mtu anapita kuomba udhamini wa kutaka uongozi, watu badala ya kuendelea na shughuli zao za maisha wanakesha kumsubiri na hata kudiriki kuingia uwanja wa ndege au kupiga deki barabara, hakuna jina linalowafaa hawa watu zaidi ya "upumbavu". Mbaya zaidi ya aina hii ya watu kwa kufanya matendo kama hayo ni katika hali inayoonyesha si tu ufinyu wa fikra ila ni dalili tosha wamefirisika kimawazo. Neno sahihi ni "ulofa". Tujitahidi kutunza heshima na utu wa kibinadamu kwa fikara kutawala matendo.
 
Kwa hio sisi ni Malofa

Au sio bwana?

Ahaaaaa

Poa poa
 
Wewe kweli ni mpumbavu kwa kuonyesha wazi wazi huna busara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…