</script>width:100%; height:100px" dir="ltr">
eeh! Tena na wewe unarudi mlemle? Ni wapi unapotumia vya kwako ulivyobuni mwenyewe? Tulikukaririsha shuleni kusoma herufi na mengi mengine. Kukariri ni sehemu ya maisha usidanganye watu. Kubali tu kuwa Mkapa na Makongoro wamechafua hali ya hewa kwani hata Makufuli akishinda atawaongoza waliotukanwa na hawatahama nchi!
Mkapa awaombe radhi aliowatukana vinginevyo watu watapiga kura za hasira. Ni ushauri tu.
Ni ujinga kuishi kwa kukaririshwa. Huna akili ya kujiendesha na kupambanua mambo. Ndiyo maana umekariri neno "pumbavu as if ndiyo mara yako ya kwanza kulisikia. Wewe ni juha unayeishi kwa rimote.
eeh! Tena na wewe unarudi mlemle? Ni wapi unapotumia vya kwako ulivyobuni mwenyewe? Tulikukaririsha shuleni kusoma herufi na mengi mengine. Kukariri ni sehemu ya maisha usidanganye watu. Kubali tu kuwa Mkapa na Makongoro wamechafua hali ya hewa kwani hata Makufuli akishinda atawaongoza waliotukanwa na hawatahama nchi!
Mkapa awaombe radhi aliowatukana vinginevyo watu watapiga kura za hasira. Ni ushauri tu.
