Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Elections 2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

Nadhani Mzee Mkapa kasahau Upumbavu wake alipodundwa kiti ya cha kiuno na Mama Anna pale ikulu miaka ya late 90's.

Naomba mwenye ile taarifa atupandishie hapa wakuu!
 
Lakini Mwanaume mpumavu na Lofa uazimwa Mke na mwanaume mwenzake na yeye kumpa madaraka kama shukrani.
 
Nadhani Mzee Mkapa kasahau Upumbavu wake alipodundwa kiti ya cha kiuno na Mama Anna pale ikulu miaka ya late 90's.

Naomba mwenye ile taarifa atupandishie hapa wakuu!

Mbavu zanguuuuu! kwi kwi kwi kwi!!!!!!!!!
 
Rais mstaafu B.W.Mkapa kanikwaza sana kwa kauli aliyoitoa ya kutuita watanzania tunaotaka ukombozi kutokana na changamoto zinazotukabili kuwa ni wapumbavu na malofa.
Hivi kweli mimi kwa mfumo huu uliopo unaonifanya kuwa maskini kutokana na mazao yangu kunyimwa bei nakuwa mpumbavu na lofa?
Huku niliko natembea zaidi ya Km 10 kwenda zahanati nako sipati dawa kweli nikidai ukombozi nakuwa mpumbavu na lofa?
Mtoto wangu anasoma shule ya kata yenye walimu wanne wanaofundisha kidato cha kwanza hadi cha nne. Nikidai mabadiliko mimi ni mpumbavu na lofa?
Jamani tulioitwa wapumbavu na malofa tuorodheshe kero zetu hapa.
 
Nadhani Mzee Mkapa kasahau Upumbavu wake alipodundwa kiti ya cha kiuno na Mama Anna pale ikulu miaka ya late 90's.

Naomba mwenye ile taarifa atupandishie hapa wakuu!

usimwite tena mzee sema lizee.
 
Haya unayoandika yatamuokoa Lowasa kutokana na kipigo atakachopigwa na Magufuli?
 
Rais mstaafu B.W.Mkapa kanikwaza sana kwa kauli aliyoitoa ya kutuita watanzania tunaotaka ukombozi kutokana na changamoto zinazotukabili kuwa ni wapumbavu na malofa.
Hivi kweli mimi kwa mfumo huu uliopo unaonifanya kuwa maskini kutokana na mazao yangu kunyimwa bei nakuwa mpumbavu na lofa?
Huku niliko natembea zaidi ya Km 10 kwenda zahanati nako sipati dawa kweli nikidai ukombozi nakuwa mpumbavu na lofa?
Mtoto wangu anasoma shule ya kata yenye walimu wanne wanaofundisha kidato cha kwanza hadi cha nne. Nikidai mabadiliko mimi ni mpumbavu na lofa?
Jamani tulioitwa wapumbavu na malofa tuorodheshe kero zetu hapa.
Naungana na mkapa wapumbazi kabisa tena mlofa
 
Rais mstaafu B.W.Mkapa kanikwaza sana kwa kauli aliyoitoa ya kutuita watanzania tunaotaka ukombozi kutokana na changamoto zinazotukabili kuwa ni wapumbavu na malofa.
Hivi kweli mimi kwa mfumo huu uliopo unaonifanya kuwa maskini kutokana na mazao yangu kunyimwa bei nakuwa mpumbavu na lofa?
Huku niliko natembea zaidi ya Km 10 kwenda zahanati nako sipati dawa kweli nikidai ukombozi nakuwa mpumbavu na lofa?
Mtoto wangu anasoma shule ya kata yenye walimu wanne wanaofundisha kidato cha kwanza hadi cha nne. Nikidai mabadiliko mimi ni mpumbavu na lofa?
Jamani tulioitwa wapumbavu na malofa tuorodheshe kero zetu hapa.

Sasa kama si utaahira kuna ukombozi tena mnaoutafuta? Waulizeni babu zenu walioutafuta ukaupata huo unaokufanya uweze kuongea! Ni utaahira kudhani utabadilisha mfumo kwa kuchagua walokulia kwenye mfumo huohuo, wakapewa majina kadhaa ya kashfa na kuitwa wafilisi wa nchi! Leo mnadandia wote mnasema eti mabadiliko?! Watanzania mmerogwa au kuna jambo limefichika hapo kwenye kundi hilo?
 
Malofa tutawaonyesha ulofa wetu na uzuri wake kura yA lofa na asiye lofa zina uzito sawa
 
WAPUMBAVU TENA MALOFA...kiswahili kigumu eti katukana
 
Na hapa ndipk Mkapa alipowaweza nyie wapumbavu. Kudhihirisha kuwa ni wapumbavu na malofa, mmeacha kumnadi mgombea wenu ambaye hata kuongea hawezi

Mwalimu Nyerere ndiye aliyeokoa ndoa ya mkapa mwaka 1995. Hili hulijui wewe kibwengo.
 
Mkapa atajuta kutumia haya maneno. Maana yake inaonekana yatatumika kuimaluza ccm!
 
siku hizi kuna shule za sekondari ambazo zina walimu wanne tu? ama kweli naungana na mkapa kuwa watu wengine ni wapumbavu.

Rais mstaafu B.W.Mkapa kanikwaza sana kwa kauli aliyoitoa ya kutuita watanzania tunaotaka ukombozi kutokana na changamoto zinazotukabili kuwa ni wapumbavu na malofa.
Hivi kweli mimi kwa mfumo huu uliopo unaonifanya kuwa maskini kutokana na mazao yangu kunyimwa bei nakuwa mpumbavu na lofa?
Huku niliko natembea zaidi ya Km 10 kwenda zahanati nako sipati dawa kweli nikidai ukombozi nakuwa mpumbavu na lofa?
Mtoto wangu anasoma shule ya kata yenye walimu wanne wanaofundisha kidato cha kwanza hadi cha nne. Nikidai mabadiliko mimi ni mpumbavu na lofa?
Jamani tulioitwa wapumbavu na malofa tuorodheshe kero zetu hapa.
 
Rais mstaafu B.W.Mkapa kanikwaza sana kwa kauli aliyoitoa ya kutuita watanzania tunaotaka ukombozi kutokana na changamoto zinazotukabili kuwa ni wapumbavu na malofa.
Hivi kweli mimi kwa mfumo huu uliopo unaonifanya kuwa maskini kutokana na mazao yangu kunyimwa bei nakuwa mpumbavu na lofa?
Huku niliko natembea zaidi ya Km 10 kwenda zahanati nako sipati dawa kweli nikidai ukombozi nakuwa mpumbavu na lofa?
Mtoto wangu anasoma shule ya kata yenye walimu wanne wanaofundisha kidato cha kwanza hadi cha nne. Nikidai mabadiliko mimi ni mpumbavu na lofa?
Jamani tulioitwa wapumbavu na malofa tuorodheshe kero zetu hapa.
 
Back
Top Bottom