Mzee mmoja aliwahi kuniambia Wajerumani ni wachawi Watanzania hatuoni ndani. Je, yana ukweli wowote?

Mzee mmoja aliwahi kuniambia Wajerumani ni wachawi Watanzania hatuoni ndani. Je, yana ukweli wowote?

Amani iwe nanyi wapendwa.

Miaka ya zamani kidogo kipindi nasoma, pale mtaani kwetu kulikuwepo na mzee mmoja alikua anajua mambo mengi sana, yaani alikua anakukuta dukani akihisi wewe ni mwanafunzi tu basi utaanza kuulizwa maswali na anakupa darasa palepale, alikua anajua kiingereza kile chenyewe cha kimalkia, alikua anaongea pia kijerumani lakini sina uhakika kama ilikua ni kijerumani kweli sababu muda huo nilikua sina exposure na ujerumani.

Cha kushangaza muonekano wa yule mzee alikua ni kama kichaa hivi, alikua na nguo pair mbili tu tulizozoea kumuona nazo, na alikua anafanya kazi ya kupalilia kwenye maboma na mashamba ya watu pale mtaani, hakuwa na familia yoyote, alikua anakaa peke yake. Na alikuja kupotea tu pale mtaani kila mtu hajui alienda wapi na niliuliza sana kama bado mzima au amefariki lakin sijawahi kupata jibu.

Binafsi napenda sana story, yule mzee nilizoeana nae akinikuta kijiweni hata kama nimetumwa nitakaa kumsikiliza anisimulie cha muhimu tu mwishoni uwe na mia mbili ya kumpa. Yule mzee alikua anadai yeye alipigana kwenye vita kuu ya pili ya dunia, alikua ni mtu anaeonekana ana memories nyingi sana za vita na harakati za kimaisha.

Kati ya mengi yule mzee alokuaga anasema moja wapo aliloniambia hadi leo nalifanyia utafiti ni hili jambo kuhusu Tanga.

Alisema wajerumani walikua wachawi balaa, waafrika na uchawi wetu ni cha mtoto kwa wajerumani kipindi kile.

Kwenye kunipa story kuhusu uchawi wa wajerumani aliwahi kuniambia kwamba huko Tanga kuna pango moja ndipo walikua wanafanyia mambo yao pamoja na mazindiko, waliacha uchawi mwingi sana kule na procedure mbalimbali za kuufanya uchawi huo kiasi kwamba hata kama mtu wa kawaida akizipata hizo procedures nae ataweza kuufanya huo uchawi.

Moja ya uchawi alioongelea ni kwamba kuna ibada moja ya kumtumia bundi akuambie kinachoenda kutokea ndani ya siku zijazo, kuna maneno unamtamkia huyo bundi na kisha unaanza kumkata kiungo kimoja kimoja na kusema tena maneno hayo maalum, yaani mfano unaanza na kidole kimoja, unamtamkia bundi hayo maneno maalum nae anaanza kukwambia nini kinaenda kutokea kutokana na maswali utakayoyaambatanisha.

Na lugha inayotumika pale ni lugha maalum ya kichawi ambayo inabidi uwe unaifahamu ili kufanikisha zoezi hilo. Alisema sharti ni kwamba huyo bundi ukimsikiliza hadi akasema kila kitu basi na wewe utakufa, hivyo inabidi ufanye timing umsikilizie akianza kuelekea mwisho umuwahi umchinje kichwa afe.

Najua jamiiforum kuna wajuvi wa mambo, na mzee wangu, mwanahistoria nguli Mohammed Said yupo humu ukiachilia mbali Mshana Jr na wataalam wengine. Je hayo aliokuwa anasema huyo mzee ni kweli au zilikua stori tu.

Uchawi ulikuwepo na upo nchi nyingi duniani, ndiyo maana hsta kwenye vocabulary ya kiingereza ‘witchcraft’ upo.
 
Kiujumla watu wengi weupe ukimkuta na imani yake jua anaisimamia ipasavyo, sio kama sisi wazee wa kukopy na kuifanya eneo la kutapelia au kuoatia kitumbo njaa
Hawa watu akiwa ni mchawi ni mchawi kwelikweli
Au ni muumink wa upagani basi ni mpagani kwelii
Sioni maajabu kwa hii story yako
 
Kapigie kelele pengine basi mkuu, tuache tunaotaka kujua kuhusu hii usiforce matusi bure, we pita kushoto kama huoni thread vile, sababu nakuona unaongea pumba tu zisizohusika hapa
Hupati jibu hapa....
Halafu wanaojua hawaweki mambo hayo hapa..
Umekosea😁😁
 
Ninachojua German ni bahili sana hawezi kukupa kitu na pia Hana huruma na mtu
 
Aiseee..

Nasikia hata kwenye machimbo ya sasa ya GGM kule Geita napo walizindika, miaka ya baadae kdg kabla ya ggm ya sasa kuanza kuna watu walijidai kichwa ngumu wakaenda kuforce kuchimba ila yakatokea mafuriko makali balaa, ni kama walipasua mwamba wa maji.

Nasikia hadi leo hio sehemu ipo underground imewekewa na geti, sijui kama ni kweli au la
[/QUOTE
Wajerumani ni noma aise
 
Amani iwe nanyi wapendwa.

Miaka ya zamani kidogo kipindi nasoma, pale mtaani kwetu kulikuwepo na mzee mmoja alikua anajua mambo mengi sana, yaani alikua anakukuta dukani akihisi wewe ni mwanafunzi tu basi utaanza kuulizwa maswali na anakupa darasa palepale, alikua anajua kiingereza kile chenyewe cha kimalkia, alikua anaongea pia kijerumani lakini sina uhakika kama ilikua ni kijerumani kweli sababu muda huo nilikua sina exposure na ujerumani.

Cha kushangaza muonekano wa yule mzee alikua ni kama kichaa hivi, alikua na nguo pair mbili tu tulizozoea kumuona nazo, na alikua anafanya kazi ya kupalilia kwenye maboma na mashamba ya watu pale mtaani, hakuwa na familia yoyote, alikua anakaa peke yake. Na alikuja kupotea tu pale mtaani kila mtu hajui alienda wapi na niliuliza sana kama bado mzima au amefariki lakin sijawahi kupata jibu.

Binafsi napenda sana story, yule mzee nilizoeana nae akinikuta kijiweni hata kama nimetumwa nitakaa kumsikiliza anisimulie cha muhimu tu mwishoni uwe na mia mbili ya kumpa. Yule mzee alikua anadai yeye alipigana kwenye vita kuu ya pili ya dunia, alikua ni mtu anaeonekana ana memories nyingi sana za vita na harakati za kimaisha.

Kati ya mengi yule mzee alokuaga anasema moja wapo aliloniambia hadi leo nalifanyia utafiti ni hili jambo kuhusu Tanga.

Alisema wajerumani walikua wachawi balaa, waafrika na uchawi wetu ni cha mtoto kwa wajerumani kipindi kile.

Kwenye kunipa story kuhusu uchawi wa wajerumani aliwahi kuniambia kwamba huko Tanga kuna pango moja ndipo walikua wanafanyia mambo yao pamoja na mazindiko, waliacha uchawi mwingi sana kule na procedure mbalimbali za kuufanya uchawi huo kiasi kwamba hata kama mtu wa kawaida akizipata hizo procedures nae ataweza kuufanya huo uchawi.

Moja ya uchawi alioongelea ni kwamba kuna ibada moja ya kumtumia bundi akuambie kinachoenda kutokea ndani ya siku zijazo, kuna maneno unamtamkia huyo bundi na kisha unaanza kumkata kiungo kimoja kimoja na kusema tena maneno hayo maalum, yaani mfano unaanza na kidole kimoja, unamtamkia bundi hayo maneno maalum nae anaanza kukwambia nini kinaenda kutokea kutokana na maswali utakayoyaambatanisha.

Na lugha inayotumika pale ni lugha maalum ya kichawi ambayo inabidi uwe unaifahamu ili kufanikisha zoezi hilo. Alisema sharti ni kwamba huyo bundi ukimsikiliza hadi akasema kila kitu basi na wewe utakufa, hivyo inabidi ufanye timing umsikilizie akianza kuelekea mwisho umuwahi umchinje kichwa afe.

Najua jamiiforum kuna wajuvi wa mambo, na mzee wangu, mwanahistoria nguli Mohammed Said yupo humu ukiachilia mbali Mshana Jr na wataalam wengine. Je hayo aliokuwa anasema huyo mzee ni kweli au zilikua stori tu.
Uchawi upo duniani kote lakini wajerumani walipoingia nchini waliwahi yale maeneo yote yaliyokuwa na nguvu za asili na kujimilikisha kila kitu kupitia wazee wetu..
Wajerumani walikuwa wajanja sana kujifanya hawajui lolots hivyo kila ambapo palikuwa hapaingiliki waliomba wazee wa mila wawasaidie,, sasa ni katika kusaidika huko waliambatana na wazee na kunakili kila hatua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uchawi upo duniani kote lakini wajerumani walipoingia nchini waliwahi yale maeneo yote yaliyokuwa na nguvu za asili na kujimilikisha kila kitu kupitia wazee wetu..
Wajerumani walikuwa wajanja sana kujifanya hawajui lolots hivyo kila ambapo palikuwa hapaingiliki waliomba wazee wa mila wawasaidie,, sasa ni katika kusaidika huko waliambatana na wazee na kunakili kila hatua

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haya mambo ya mercury na rupees ni kweli dili au tantalila tu
 
Mkuu haya mambo ya mercury na rupees ni kweli dili au tantalila tu
Yalikuwepo hapo zamani sio sasa hivi.. Mwaka 1987 niliendesha baiskeli masaa 6 kisha nikatembea masaa 3 kufuata rupia mlimani bush kabisa! Nikatolewa furushi la rupia kwenye chungu nitafute niitakayo.. Nilitoka kapa baada ya saa nzima ya kuangalia kila moja kwa umakini mkubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Story za kufikilika tu, uchawi ni Artificial intelligence, Internet of things IOT, Information technology, integrated circuits, Microelectronics, PLCs, cyber space, nk,
Mzungu Hana Mambo ya manyaunyau au kupaa na ungo!
Bombardier, dream liner, space X, RAM, google, Apple, ebu elezea machawi kama ya kisfrika yapo wapi hapo!
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
 
Uchawi upo duniani kote lakini wajerumani walipoingia nchini waliwahi yale maeneo yote yaliyokuwa na nguvu za asili na kujimilikisha kila kitu kupitia wazee wetu..
Wajerumani walikuwa wajanja sana kujifanya hawajui lolots hivyo kila ambapo palikuwa hapaingiliki waliomba wazee wa mila wawasaidie,, sasa ni katika kusaidika huko waliambatana na wazee na kunakili kila hatua

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2956]
 
Yalikuwepo hapo zamani sio sasa hivi.. Mwaka 1987 niliendesha baiskeli masaa 6 kisha nikatembea masaa 3 kufuata rupia mlimani bush kabisa! Nikatolewa furushi la rupia kwenye chungu nitafute niitakayo.. Nilitoka kapa baada ya saa nzima ya kuangalia kila moja kwa umakini mkubwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Komredi "harubu" hiyo uliipatia wapi ?!!
 
Makao Makuu ya uchawi Southern Hemisphere ni Canberra,Australia.
Northern Hemisphere ni mji mmoja wa Ujerumani.
Kumbuka Illuminati ilianza Bavaria,Ujerumani.
Na tunaposema "uchawi" tuna maana hawa crazy devil worshippers .
One thing must be stressed. Maneno ya kuwatesa bundi,au kumtesa mnyama yoyote hayafai. Ama sivyo unakuwa kama wafuasi wa Mwamposya,ambao wanashangiliwa wakisema wamemuua paka kwa kutumia mafuta yaliyobarikiwa.
 
Uchawi upo Hilo ni suala lisilo pingika nenda hata vitabu vya dini vimedokeza hayo.

Kuna watu wameishi San na wajerumani even waingereza means Babu zetu especially before ya uhuru.

Wajerumani wanauchawi wao ambao ulikuwa unaaminika kama self sacrifice huu uchawi waliudhihirisha pale baada ya kushindwa vita vya pili vya Dunia. Na ikalazika kuacha makoloni yote Africa tena bila kutoka na kitu chochote means madini, na maligafi zote walizokuwa wamechuma Africa ilitakiwa waziache kwenye hayo makoloni waliyokuwa wanayatawala.

Sasa Hawa jamaa walichokifanya
ni kutumia madini kutengenezea vitu kama pasi n.k ili watoke navyo, still mwingereza alishtukia Hilo deal.

Sasa hapo ndipo walipo aza kutumia huo uchawi wao wa self sacrifice zile pasi na vitu vinginevyo viliaza kutupwa au kufichwa ktk mito isiyo na speed ya maji, mapango kwenye mawe makubwa na misitu minene n.k,

Sasa ili kulinda Mali hizo ililazimika kama wapo sita mmoja wao anatolewa sadaka means unatolewa kafara ili kulinda hiyo Mali iliyofichwa coz zilikuwa na value kubwa mno ndiyo maana sehem nyingi zilipo fichwa Mali za mjerumani Kuna kila aina ya vitimbi mfano majoka makubwa minzinga ya nyuki wasio linika. Na hizo sehem ziliwekewa alama maalamu coz walijua ipo siku wataludi kuzichukua.

Hizo Mali unaweza kuziona Kwa macho ila kuchukua mtiti, unaweza kupoteza maisha au hata kuwa kichaa

Kuna sehem nying San Kwa hapa Tz walificha hizo Mali zao na watu mbalimbali walitaka kuzichukua walishindwa coz maeneo hayo Huwa hapakosi kuwa na majoka au joka kubwa au hata mzinga wa nyuki walio wakali balaa

Haya maeneo yapo njombe Kuna msitu waliweka Mali zao, Moro kuna mapango waliweka Mali zao hata mbeya Kuna mto walitupa pasi zao.
Uliwaona wanavoweka hivo vitu?
 
Back
Top Bottom