Mzee Mpili wa Ikwiriri kwa Mkapa umeenda kufanya nini?

Mzee Mpili wa Ikwiriri kwa Mkapa umeenda kufanya nini?

MO11

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2014
Posts
19,057
Reaction score
39,387
FB_IMG_16663709262651421.jpg


Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda, kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja, watakuja kufa bure. Wewe siyo mchezaji unakuja kuangalia nini?

Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza; uchawi, uchawi, uchawi, tu! Na waarabu hawarogeki "Mbwa nyinyi".
- Lucy Eymael

FB_IMG_16663709158796465.jpg
 
View attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja
watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini
Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza
uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi" -lucy eymael
Mshirikina huwaza ushirikina tu.
Vipi safari hii hatuwashi moto?
 
anakwambia"ntavesha ntu nguo nyeupe"[emoji28][emoji23]
 
Mshirikina huwaza ushirikina tu.
Vipi safari hii hatuwashi moto?
sasa kama mzee mpili anaweza haya kwa nn lawama anapata nabi ?
 
Hii timu akabidhiwe mzee mpili tu
 
View attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja.

watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini.

Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi"
-lucy eymael

View attachment 2393948
Amevunja sheria gani ya nchi? kuna watu wangapi hapo uwanjani wewe umemuona yeye tu?
 
View attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja.

watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini.

Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi"
-lucy eymael

View attachment 2393948
Acha uoga wewe! Mpira unachezwa uwanjani.

Kama uchawi ungekuwa na nguvu kiasi hicho, basi kwenye ile mechi yenu na Orlando Pirates kule Afrika ya Kusini, mngeshinda 4-0.
 
View attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja.

watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini.

Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi"
-lucy eymael

View attachment 2393948
Mmebaki kuwaza upuuzi tu kwaiyo unampangia mtu sehemu za kupita na kutembea? Kwenye watu wote waliopo hapo umemuona mzee mpili tu? Kama uchawi unafanya kazi mngeshinda kule south africa mlikowasha moto maana nyie ndo waasisi wa ushirikina mnajulikana
 
Acha uoga wewe! Mpira unachezwa uwanjani.

Kama uchawi ungekuwa na nguvu kiasi hicho, basi kwenye ile mechi yenu na Orlando Pirates kule Afrika ya Kusini, mngeshinda 4-0.
huu ndio uwekezaji wa ndani na nje ya uwanja mliowazidi al hilal
 
Mmebaki kuwaza upuuzi tu kwaiyo unampangia mtu sehemu za kupita na kutembea? Kwenye watu wote waliopo hapo umemuona mzee mpili tu? Kama uchawi unafanya kazi mngeshinda kule south africa mlikowasha moto maana nyie ndo waasisi wa ushirikina mnajulikana
umeandika kama una akili vile
kumbe ulirudia darasa la nne
 
Back
Top Bottom