Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
sasa mzee mpili si kapita njia tu 🤣🤣🤣 tatz liko wapiView attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja.
watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini.
Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi"
-lucy eymael
View attachment 2393948