Mshirikina huwaza ushirikina tu.View attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja
watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini
Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza
uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi" -lucy eymael
Huoni hata simba wamewafukuza makocha kadhaa ilhal mnachoma hirizi hadi ugenini😆😆sasa kama mzee mpili anaweza haya kwa nn lawama anapata nabi ?
Tuwe wakweli tu.sasa kama mzee mpili anaweza haya kwa nn lawama anapata nabi ?
Ok sawa nimekusomaMshirikina huwaza ushirikina tu.
Vipi safari hii hatuwashi moto?
Nitakutenga sasa.Ok sawa nimekusoma
Nimekuelewa baba natulia kwako daimaNitakutenga sasa.
Na ogopa nikikutenga kila mtu atakutenga....umeniekewa kijana!
Amevunja sheria gani ya nchi? kuna watu wangapi hapo uwanjani wewe umemuona yeye tu?View attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja.
watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini.
Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi"
-lucy eymael
View attachment 2393948
Acha uoga wewe! Mpira unachezwa uwanjani.View attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja.
watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini.
Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi"
-lucy eymael
View attachment 2393948
Mmebaki kuwaza upuuzi tu kwaiyo unampangia mtu sehemu za kupita na kutembea? Kwenye watu wote waliopo hapo umemuona mzee mpili tu? Kama uchawi unafanya kazi mngeshinda kule south africa mlikowasha moto maana nyie ndo waasisi wa ushirikina mnajulikanaView attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja.
watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini.
Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi"
-lucy eymael
View attachment 2393948
huu ndio uwekezaji wa ndani na nje ya uwanja mliowazidi al hilalAcha uoga wewe! Mpira unachezwa uwanjani.
Kama uchawi ungekuwa na nguvu kiasi hicho, basi kwenye ile mechi yenu na Orlando Pirates kule Afrika ya Kusini, mngeshinda 4-0.
umeandika kama una akili vileMmebaki kuwaza upuuzi tu kwaiyo unampangia mtu sehemu za kupita na kutembea? Kwenye watu wote waliopo hapo umemuona mzee mpili tu? Kama uchawi unafanya kazi mngeshinda kule south africa mlikowasha moto maana nyie ndo waasisi wa ushirikina mnajulikana