Ali Nassor Px
JF-Expert Member
- May 6, 2022
- 2,384
- 3,926
sasa mzee mpili si kapita njia tu 🤣🤣🤣 tatz liko wapiView attachment 2393947Hawa jamaa zetu mpira umeshawashinda kazi kutumia wazee wacheze nje ya uwanja.
watakuja kufa bure bila sasa
wewe sio mchezaji unakuja kuangalia nini.
Hawa utopolo humu ndipo walipowekeza uchawi uchawi uchawi tu
Na waarabu hawarogeki "mbwa nyinyi"
-lucy eymael
View attachment 2393948
kuhus kuzungumza uchaw na matusi huyo ni mtu wa pwani maneno yake yasikuogopeshe chiefHuyo mzee maongezi yake ni uchawi na matusi tu
sijui kwanini uto wanamtegemea
Au kwenge ile mechi ya Yanga na Hilal basi Yanga wangeshinda, me naamini hauna nguvu kiasi hicho ndiomaana mlifungwa.Acha uoga wewe! Mpira unachezwa uwanjani.
Kama uchawi ungekuwa na nguvu kiasi hicho, basi kwenye ile mechi yenu na Orlando Pirates kule Afrika ya Kusini, mngeshinda 4-0.