Mzee Mtambuzi wa Jf amepata ajali asubuhi hii.

Status
Not open for further replies.
Mungu akusaidie Mzee Mtambuzi upone haraka
 
Pole sana mzee wetu!! Get well soon ili urudi haraka katika shughuli zako.
 
mpe pole sana , namuomba mungu ahusike kumponya ...pole sana mtambuzi
lol maisha haya jamani
 
mpe pole sana , namuomba mungu ahusike kumponya ...pole sana mtambuzi
lol maisha haya jamani
Salam zimefika shalis,yani ww acha tu hakuna aijuaye kesho,mwenyewe ndio alikuwa nataoka zake aende job!
 
Pole sana Mzee Mtambuzi, Mwenyezi Mungu akunyoshee mkono wake ili upone upesi!!
 
Mpe pole sana, Mungu amtie nguvu na kumponya haraka
 
Wadau

Nimetoka Regency medical centre muda mfupi uliopita. Nimeonana na ''Mzee'' Mtambuzi, bado amepumzishwa casuality room.

Nimezungumza nae anaendelea vizuri kiasi ingawa bado anasikia maumivu mgongoni pamoja mkononi. Matokeo ya x-ray yanaonyesha amevunjika mifupa ya mkono karibia na kiganja, mkono wa kulia.

Hadi ninaondoka hospitali alikuwa anasubiri kuonana na daktari bingwa wa mifupa kutoka muhimbili(MOI). Alikuwa amepata huduma ya utangulizi na kufungiwa POP huku wakimsubiri mtaalamu wa mifupa toka muhimbili, ambaye anatarajiwa kuwepo regency kuanzia saa 10-11 jioni hii.

Tuendelee kumuombea kwa Mungu, ili amjalie apone haraka. Lakini pia ningependa kutoa rai kama kuna mwanaJF yeyote ambaye ni daktari wa mifupa, ama kuna mtu anayefahamiana na daktari bingwa wa mifupa, angejitahidi kumsaidia huyu mdau. Kwakuwa inasemekana wataalamu hao ni wachache na wanapatikana kwa "appointment" kwenye hospitali binafsi na wakati mwingine hawafiki kutokana na kutingwa na majukumu mengi huko muhimbili. Sijui ni kutokana na hizi boda boda kuvunja watu viuno kila mara!? ama ni uchache wa wataalamu!

Naomba kuwasilisha.
 
Tunamtakia kheri, Mungu amponye mapema! Madereve wa daladala nao, humkupata dereva aliyemgonga angalau tupunguze hasira kwa kumchapa makofi mawili matatu?
 
Kwa habari za muda huu, mzee mtambuzi ameshaonana na daktari bingwa wa mifupa kutoka muhuimbili na baada ya kumcheki amesema oparation itafanyika kesho kwan kuna vipimo vingine anatakiwa kufanyiwa pamoja na maandalizi kabla ya operation hiyo,kwa hiyo ataendelea kuwepo pale regency akihudumiwa mpaka kesho,anawashukuru wote kwa ushirikiano wenu.
 

Thanx kwa updates.....
Mungu ampe nguvu za kutoka katika hili mapema....
 
mpe pole saana aisee..
apone haraka....
get well soon....
 

catalisia endelea kutujuza nasi tunazidi kumuombea kila la heri aweze kupona mapema
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…