Mzee Mtambuzi wa Jf amepata ajali asubuhi hii.

Mzee Mtambuzi wa Jf amepata ajali asubuhi hii.

Status
Not open for further replies.
Asante kwa taarifa, mungu atamponya upesi.
 
Habari za asubuhi wadau,napenda kuwajulisha kuwa Baba yetu Mzee Mtambuzi amepata ajali asubuhi ya saa kumi na mbili leo ya kugongwa na gari daladala T.837 AUK na wakati akivuka barabara maeneo ya Tabata mawenzi ambato daladala hilo lilingia kushoto gafla likiovertake daladala lingine kuwahi abiria ndipo lilimkuta baba na kumgonga.Katika ajali hiyo baba amevunjika mkono wa kulia na yuko Amana hospitali kwa matibabu,mpaka naandika hii taarifa alikuwa bado anasubiri kufanyiwa kipimo cha x-Ray nakujua amevunji
https://www.jamiiforums.com/login.php?do=login

Mpe pole sana. Kila nikiona daladala huwa nachukulia anayeendesha ni kichaa aliyeacha file lake milembe, hawafai hao.
 
Poleni sana mungu hatamjalia atapona..

dume unaweza kushikwa uchawi bureeee kumbe sio wewe ni vidole tu vinateleza!!

Mtambuzi pole sana kwa ajili, tunakutakia kheri upate matibabu ya uhakika na kwa msaada wa MUNGU utapona.
 
Pole sana Mzee Mtambuzi, Mungu akujalie upone haraka iwezekanavyo!
 
Pole sana mzee mtambuzi nakutakia kupona haraka. Asante sana mdada kwa taarifa, mwambie hayuko peke yake na sisi tuko pamoja nae.

Hawa madereva wa daladala wengi wao sio kabisa.
 
Belated.. Poleni sana.. Inasikitisha sana. Sijui hadi lini hawa madereva wa daladala watafuata utii wa sheria. Tupo pamoja katika sala Mzee Mtambuzi..
 
Pole sana mzee mtambuzi nakutakia kupona haraka. Asante sana mdada kwa taarifa, mwambie hayuko peke yake na sisi tuko pamoja nae.

Hawa madereva wa daladala wengi wao sio kabisa.
Salam zimefika mkuu,tuko pamoja.
 
Poleni sana!

Namwombea apone mapema na kurejea katika shughuli zake za kila siku za ujenzi wa taifa na familia yake.

Sikujua: Kumbe mtambuzi ni "mzee na ni baba yake Cantalasia?"

mtu na babae wajanja. wanajichanganya na jamii. vipi umewahi kusoma posts zao? zinafanana kifalsafa au kila mtu na lwake?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom