Labda wanataka baba mdogo wa taifa[emoji38]Uliona wapi mtu kuwa na baba wawili?
Mwalimu Nyerere ni baba wa Taifa mnataka na nyongeza ya baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tayari mmeanza kujitokeza, wale tunaotilia shaka utimamu wa akili zenuUtajibiwa popom wew
Anatamani hata tuvunje katiba ili magufuli abaki madarakani.
Samahani mkuu...Nyerere na Mkapa ni watu wa kanisa ndio maana baada ya Nyerere hadhi yake ikapewa Mkapa!!
Kuna vijana watakuja kuuliza alie mpiga ni nani..[emoji1787][emoji1787]Vile vibao labda vilimvuruga akili