Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Nakumbuka enzi zake, mke wake aliifanya ikulu kuwa ofisi ya wapiga deal, mpaka Nyerere akasema
Angepewa nafasi angeishia kumsifu Magu yule mzee. Umeona mzee wa msoga alivyoitendea haki nafasi aliyopewa?Jana hakuongea?
baba mdogo yupoUliona wapi mtu kuwa na baba wawili?
Mwalimu Nyerere ni baba wa Taifa mnataka na nyongeza ya baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninavyojua, baba wa taifa huwa ni mmoja tu. Marekani ni George Washington, China ni Mao Tse Tung na India ni Mahatma Gandhi. Wengine watabaki kuheshimika na kuenziwa kwa namna walivyotumikia taifa na kutoa mchango wao.Ni Jambo lililo wazi kwamba Mzee Mwinyi ni mtu mwema mpole mnyenyekevu na mkarimu asie na makuu. Alipaswa kuwa na nguvu baada ya Mwalimu kuondoka kwasababu ya kigezo cha seniority list.
Lakini maboko yake yalimkosesha hadhi hiyo na kupewa Mkapa. Hebu fikiria mfano huu mdogo.
Eti yeye Mzee Mwinyi anamhusudu Magufuli na kwamaneno yake anaongoza nchi vizuri sana. Mbaya zaidi, anatamani hata tuvunje katiba ili Magufuli abaki madarakani. Kweli hii ni hadhi ya mtu kuwa na hadhi ya pili next from Nyerere?
Mkapa deserved it kwasababu alithubutu kumkemea JPM waziwazi kama tu Mwalimu alivyofanya kwa Mwinyi.
Yule mama alikuwa balaa baba alishindwa kumdhibiti kabisa alikuwa juu kweli,Huyo mama alikuwa kama ndiye Rais. Kuna wakati Mrema alikamata dhahabu uwanjani. Inasemekana ilikuwa ya Mama Sitti. Amri ikatoka juu ya kuachia mzigo. Nyerere alitamani kumtoa Mwinyi kabla ya muda wake kwisha. Sema sheria haikuruhusu. Ndio maana wazo la Mwinyi kuongezewa muda, alilitupilia mbali. Alikuwa anasubiri muda wa Mwinyi uishe kwa hamu kubwa.
Sana. Mstaafu JK alinikosha sana kwa kuweka rekodi zote sawaAngepewa nafasi angeishia kumsifu Magu yule mzee. Umeona mzee wa msoga alivyoitendea haki nafasi aliyopewa?
Maana kuna watu walishapindisha ili ionekane wao ndio smart than others and the former presidents did nothing.Sana. Mstaafu JK alinikosha sana kwa kuweka rekodi zote sawa
Kijana wa Msoga bado ubongo wake unafanya kazi kwa ufasaha kabisaAngepewa nafasi angeishia kumsifu Magu yule mzee. Umeona mzee wa msoga alivyoitendea haki nafasi aliyopewa?
Akili timamu ila akapungukiwa na busara tuHuyu mzee mwenye enzi Mungu amemjalia maisha marefu ana miaka 94 na bado yuko vizuri akili yake iko timamu kuliko sehemu kubwa ya member wa JF. Je hakuna cha kujifunza? Tafakari
Huyu mzee umri umesha kwenda sana, si kila ayasemayo yanafaa kuzingatiwa.Ni Jambo lililo wazi kwamba Mzee Mwinyi ni mtu mwema mpole mnyenyekevu na mkarimu asie na makuu. Alipaswa kuwa na nguvu baada ya Mwalimu kuondoka kwasababu ya kigezo cha seniority list.
Lakini maboko yake yalimkosesha hadhi hiyo na kupewa Mkapa. Hebu fikiria mfano huu mdogo.
Eti yeye Mzee Mwinyi anamhusudu Magufuli na kwamaneno yake anaongoza nchi vizuri sana. Mbaya zaidi, anatamani hata tuvunje katiba ili Magufuli abaki madarakani. Kweli hii ni hadhi ya mtu kuwa na hadhi ya pili next from Nyerere?
Mkapa deserved it kwasababu alithubutu kumkemea JPM waziwazi kama tu Mwalimu alivyofanya kwa Mwinyi.
Jamaa labda anafikiri Baba wa Taifa ni lazima awe hai ...... Nyerere atabakia kuwa baba wa Taifa mpaka mwisho wa Tanzania au Dunia. Unless, wabadili katiba na kumuondoa.Uliona wapi mtu kuwa na baba wawili?
Mwalimu Nyerere ni baba wa Taifa mnataka na nyongeza ya baba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwinyi amejivunjia heshima sana katika hili.Ni Jambo lililo wazi kwamba Mzee Mwinyi ni mtu mwema mpole mnyenyekevu na mkarimu asie na makuu. Alipaswa kuwa na nguvu baada ya Mwalimu kuondoka kwasababu ya kigezo cha seniority list.
Lakini maboko yake yalimkosesha hadhi hiyo na kupewa Mkapa. Hebu fikiria mfano huu mdogo.
Eti yeye Mzee Mwinyi anamhusudu Magufuli na kwamaneno yake anaongoza nchi vizuri sana. Mbaya zaidi, anatamani hata tuvunje katiba ili Magufuli abaki madarakani. Kweli hii ni hadhi ya mtu kuwa na hadhi ya pili next from Nyerere?
Mkapa deserved it kwasababu alithubutu kumkemea JPM waziwazi kama tu Mwalimu alivyofanya kwa Mwinyi.
Shukarani yake leo tunamdhihaki, tunamtusi na tunamdharau.Muacheni mzee wa wetu atuchekeshe wajukuu zake. Aliwakuta baba/babu zetu wanavaa likundou,kaniki na viatu vya mairi ya gari,wanapanga foleni ya sukari,sabuni na mafuta ya taa,TV alikuwa nayo Nyerere tu pale Ikulu. Akatufanya tujue duniani watu wanaishije ili na sisi tuishi kama wao.
Siyo sawasawaManeno "Kuvunja katiba" na "kubadilisha katiba" ni sawasawa???!
Ni Jambo lililo wazi kwamba Mzee Mwinyi ni mtu mwema mpole mnyenyekevu na mkarimu asie na makuu. Alipaswa kuwa na nguvu baada ya Mwalimu kuondoka kwasababu ya kigezo cha seniority list.
Lakini maboko yake yalimkosesha hadhi hiyo na kupewa Mkapa. Hebu fikiria mfano huu mdogo.
Eti yeye Mzee Mwinyi anamhusudu Magufuli na kwamaneno yake anaongoza nchi vizuri sana. Mbaya zaidi, anatamani hata tuvunje katiba ili Magufuli abaki madarakani. Kweli hii ni hadhi ya mtu kuwa na hadhi ya pili next from Nyerere?
Mkapa deserved it kwasababu alithubutu kumkemea JPM waziwazi kama tu Mwalimu alivyofanya kwa Mwinyi.