TANZIA Mzee Nicodemus Manase Banduka afariki dunia hospitali ya Mloganzila

Radio tudanganyane daresalaam , nilimsikia sana ...alikuwa mzima hata Dr creluu angekuwa mzima
 
Naona Wazee waadilifu wa Enzi za Mwalimu wanaondoka!
Mmh.

Hatutakiwi kumsema vibaya Marehemu, lakini hili la uadilifu sio kweli!

Mzee alikuwa akiona kiwanja/ardhi anawehuka!

Aliwahi kuuza msitu wa kupanda pale Maili Moja mkoani! Kasheshe lake ndilo lililomaliza mbio zake za kisiasa!

BWT, huyu hakufikisha miaka 100 kweli? Maana alikuwa kizazi cha Daudi Mwakawago!
 
Banduka ni jina nililolisikia sana miaka ya zamani, apumzike kwa amani.
 
Aise! Sikulijua hilo kwamba alikuwa na makandokando kama hayo.
 
Shinysnga Pia. Alishawahi kuwa RC
 
Tafuta historia yake vizuri, mkuu
  1. Aliwahi kuwa RC Iringa
  2. Aliwahi kuwa RC nadhani ni Mtwara au Lindi
  3. Nadhani alidunguliwa kuna kauli tete aliitoa somewhere ndipo akapotea kwenye siasa
Ilikuwa Lindi, kule Kuna eneo mpaka Leo kinaitwa banduka. Aliwatoa watu sehemu hatarishi na kuwahamishia huko na hatimaye kupata jina hilo.
 
Stephen Mashishanga yupo anaishi Kihonda Morogoro ni mtu tofauti na huyu Nicodemus Banduka aliyefariki
Wapi nimeandika Stephen Mashishanga amefariki ebu weka hiko kipande ulichonukuu.
Uwe unasoma vizuri kilichoandikwa kabla ya kukosoa.
 
Wapi nimeandika Stephen Mashishanga amefariki ebu weka hiko kipande ulichonukuu.
Uwe unasoma vizuri kilichoandikwa kabla ya kukosoa.
Post yako no 39 umemuandika nani? Uzi wa Banduka wewe unaleta story za Mashishanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…